salimu alute
Member
- Jun 9, 2019
- 21
- 22
Mchezaji wa Azam FC PRINCE DUBE amerudisha kilakitu cha klabu hiyo ikiwemo nyumba na kuondoka kambini.
Dube aliiandikia klabu hiyo barua akiomba kuondoka klabuni hapo baada ya kuishi Chamazi kwa miaka 4 sasa.
Dube anahusishwa kutaka kutafuta maisha mapya ‘Kariakoo
Dube aliiandikia klabu hiyo barua akiomba kuondoka klabuni hapo baada ya kuishi Chamazi kwa miaka 4 sasa.
Dube anahusishwa kutaka kutafuta maisha mapya ‘Kariakoo