technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,846
Jisadie Kwanza Mungu ndio atakusaidia madicteta, wauaji, majambazi ndio hao hao kila siku tupo nao makanisani nao wanaomba Mungu awasaidie katika kazi zao.....
Mimi napendekeza tuchukue hatua sio kulia lia kila siku Mungu pia katuchoka.
Mimi napendekeza tuchukue hatua sio kulia lia kila siku Mungu pia katuchoka.