pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,644
- 13,702
Manyanyaso dhidi ya wanadamu wengine kilio chake humfikia Mungu haraka na Mungu hujibu kwa mapigo makuu. Ccm jifunzeni na badilikeni, mwelekeo wenu tuendako sio kuzuri kwenu.
Biblia Takatifu imeandikwa huwezi kumpenda Mungu usiyemuona ilhali ukimchukia Binadamu unayemuona kwa macho huo ni uongo katika Amri kumi za Mungu aliyomshushia Musa Mpende jirani yako kama nafsi yakoHii KKKT wametunga tu ili kupinga mwenendo wa Mh. Rais JPM, sbb KKKT wengi CHADEMA. Biblia haina mambo ya uhuru wa kikatiba au nini.
Alichozungumza huyo Baba askofu ni kweli au sio kweli?tuanzie hapo kwanzaI have a very serious concerns with this Bishop, kila mahubiri yake yana direct connection na siasa na hasa kuponda utawala wa awamu ya tano!
Nafikiri ni too much politicians than gospel preacher! Sawa siasa ni sehemu ya gospel but to him is too much bana! Tusiponde tu maaskofu wanaosifia tu serikali bila kukosoa, tuwe macho pia na maaskofu wakosoaji tu! Mbaya zaidi madhabahuni!
Kama umejaa mahaba ya kisiasa na vyama hutonielewa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
HakikaTujikumbushe
Hii KKKT wametunga tu ili kupinga mwenendo wa Mh. Rais JPM, sbb KKKT wengi CHADEMA. Biblia haina mambo ya uhuru wa kikatiba au nini.