Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,697
- 13,080
Mkuu hapo siasa iko wapi? Au aliposema watu kuzuiwa kukutana? Au mimi sijakuelewa nini? MTAZAMO,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mbinu za utawala huu wa awamu ya tano, haitashangaza kusikia kuanzia kesho huyo Askofu anachunguzwa uraia wake..............Jina la asikou limekaa kiuganda ama rwanda na sio tanzaniaaa....hahhaaaa...to be deported
Correct, kama Uhuru wa kukutana hawana hapo kanisa kwao pia hawaendi?
Kama jina gani mkuu, mana mengi hujiita yeyeSasa mbona wapinzani wanaongoza kumchukia JPM, kila siku anatungiwa majina ya kejeli.
Una kaugonjwa ka akiliHata mitume hawaijui biblia. Bible is a Catholic book! Hutaki sikulazimishi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninapotafakari sala na mafundisho kama haya ya kikatoliki ndipo napoona Catholic ni baba lao ingawa kuna wazinguaji kama akina Pengo wanatukatisha moyo.Huwezi kusema unapenda Mungu usiye muona huku ukimchukia nduguyo unayemuona.
Wachungaji wakimssifia sio siasa wakimkosoa wanafanya too much?? Pathetic
Sometime nakuunga mkono, eti ni Mungu gani anaruhusu watu wengine kuteka, kuua na kutesa wenzao halafu yeye anaona tu na asichkue hatua??Mungu anasingiziwa kuwepo tu.
Angekuwepo, madikteta wasingeweza kuwepo.
Imekuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wite na upendo wote aumbe ulimwengu ambao madikteta wanaweza kuwepo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitumia akili, utaona hakuna Mungu.Sometime nakuunga mkono, eti ni Mungu gani anaruhusu watu wengine kuteka, kuua na kutesa wenzao halafu yeye anaona tu na asichkue hatua??
sometime naona kama tunadanganyana tu.
Pangua hoja basi. Leo akifufuka mtume yoyote ukamuuliza Biblia ni nini atakujibu? Kwamba bible ni Catholic book nenda ka google usome mwenyewe.