johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,023
- 142,073
Kanisa la KKKT DMP limesema litaondoa Spika kubwa kwenye Makanisa yake yote kuitikia wito wa NEMC wa kupambana na Uharibifu wa Mazingira
Kwa sasa takribani Makanisa 9 ya KKKT DMP yana Kesi NEMC zilizofunguliwa na Majirani zao
Naye askofu wa KKKT DMP Dr Malasusa amesema wakati mwingine haya maspika ni dalili za " Ushamba" kwa sababu hata huko kwa wenzetu tukisafiri hatuyakuti haya mambo
Dr Malasusa ameagiza maspika ya Azania Front kuondolewa mara moja
Source: Upendo TV
Kwa sasa takribani Makanisa 9 ya KKKT DMP yana Kesi NEMC zilizofunguliwa na Majirani zao
Naye askofu wa KKKT DMP Dr Malasusa amesema wakati mwingine haya maspika ni dalili za " Ushamba" kwa sababu hata huko kwa wenzetu tukisafiri hatuyakuti haya mambo
Dr Malasusa ameagiza maspika ya Azania Front kuondolewa mara moja
Source: Upendo TV