Kizuri kula na mwenzio!!!! itakufaa na wewe.

dadam

Member
Apr 20, 2011
56
9
wapendwa, nimekua nikisoma sana post na coments zenu za humu JF, lakini sijawahi waza kupost Topic au coment kwa sababu ninazozijua...ila leo imenibidi niwashirikishe hili...
Jamani nina furaha.......nilikua na tatizo na mume wangu kwa takribani miaka miwili sasa. kwa kweli ni tatizo ambalo hata kulisema hapa nilishindwa.. nilishaomba ushauri sana hadi kwa wachungaji na kuombewa ila ilishindikana..kiufupi, mume wangu alikua anapenda sana kujifunua na kuacha sehemu zake nyeti wazi kwa kumuonyesha mwanamke...mara nyingine alikua hadi anawachafua watu kwenye daladala na mbegu za kiume. amini usiamini hadi vitoto vidogo vilikua vinakuja kunilalamikia kua mume wangu anawaonyesha dudu lake. ...alishawahi kupigwa kwa kumchafua dada wa watu ktk daladala ila mimi nilikuja kujua baada ya muda mrefu sana.

mwanzoni nilikua nikimuuliza anakataa lakini ilifika siku nikamfumania ndipo alipokubali na kuniambia kua asipofanya hivyo hapati hamu ya kufanya mapenzi na mimi. leo kuna muujiza umetokea kwani sidhani kama ni kawaida

kuna rafiki yangu alinipa namba ya dada mmoja..yaani nikimkumbuka nafurahi hadi machozi yanatoka, huyo dada nahisi alisoma mambo ya saikolojia. tuliongea nae akasema kua angejaribu kuongea na mume wangu. tulifanikiwa kiujanja kumpa namba yake na kumwambia asimwambie kua ni mimi nimempa...
jamani, baada ya siku tano alinambia ameshakutana na mume wangu.

aliongea nae na alikua akinambia tusubiri na niwe namfuatilia kujua maendeleo yake. ninavyoandika sasa, nina miezi miwili sijasikia kesi ya namna ile... cha ajabu leo mume wangu kanitoa lunch..(haijawahi tokea kawa miaka miwili sasa) na kikubwa alitaka kunipongeza na kunishukuru kwa kua mvumilivu kwani sasa tatizo lake limeisha. sikuamini...niliruka hadi nikamwaga soda niliyo kua nakunywa..
leo nimempigia yule dada hapatikani....daaaa natamani nitoboe simu nimpate
natamani ni jue ni dawa gani alimpa ila alinambia hatonambia chochote isipokua kwa ridhaa ya mume wangu. mume wangu nae nahisi kanificha kwani anasema hajatumia dawa yoyote. eti mimi ndo nilikua dawa.
ila ndugu zangu wana Jf....naogopa kumwambia mume wangu kua mimi ndo niliemuunganisha kwa huyo dada kwani atahisi nilikua natangaza tatizo lake. natamani sana kujua ni tatizo gani hasa hili...Mungu ni mwema.....yaani nina raha sijui hata nisemeje,...namshukuru mungu kwa kweli...hakuna lisilowezekana kwa mungu chini ya jua kwani naamini sio akili ya yule dada bali ni mungu tuu looo...dada mwenyewe ni mtoto tuuuu alafu hata hafananii...usimjaji usiyemjua ...
usiku mwema.
 
Hongera mwaya!Kama tatizo limeisha na mwenyewe umejiridhisha kwa hilo usianze kuchimbua huku na kule.Mshukuru Mungu ..mshukuru huyo dada alafu rudi kwenye kufurahia ndoa yako.Kama tatizo lake lilikua la kisaikolojia linaweza sana kutibika bila dawa tulizozoea kunywa...
 
Hongera kwa uvumilivu mana hilo tatizo mmh!..pia endelea kufuatilia nyendo za mumeo kama kaacha kweli kwa 100% hiyo tabia mana ni habari njema kwenu na ndoa yenu..
 
Kwani ulitaka ampe dawa gani? Ikiwa unajua kizuri unakula na mwenzio, kula na mwenzio ndio dawa yake? Tatizo limekwisha kwa sababu kampata mtu wa kumuonesha dude lake na kumwagia mbegu zake. Alafu unajua kuwa huyo dada unakula nae kile kitu kizuri, alafu unauliza jibu. Huyo rafiki yako kaona bora amsitiri mumea kwa aibu anayotia mtaani kwa kumtafutia mtu atakae muonesha na kumwagia mbegu zake, zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz, pole na samahani kama nimekukwaza
 
Inamaana alikuwa na hisia za kifisi maji maana hiyo kali ndo naisikia kwako kutoa dudu hadharani na kuchafua w2 kwenye daladala?? alichofanyiwa na huyo mdada ndo una2ficha haya bana.
 
Asante mpendwa wangu.. kwa kweli namshukuru mungu..huyo dada aliyeniunganisha na huyo dada aliniambia kua alishamsaidia mama mmoja aliyekua anakojoa kitandani akaacha..kwa hiyo sasa naamini kua hiyo saikolojia ipo na inaweza kusaidia. mwanzo nilikua siamini kwani nilikua nasikia tuu kua wanasaikolojia akikuangalia tuu anajua shida yako
 
Somoe..dada wa watu hakufanya hivyo kwani yeye yupo Dar na Mume wangu yupo Morogoro. aliyewezesha wakutane ni huyu dada aliyeniunganisha nae na walionana siku mbili tuu. (kwa maelezo ya mume wangu na mazingira yenyewe nina uhakika na hili) kwa hiyo hamna namna yoyote ambayo huyo dada angefanya huo ujinga.
 
Somoe..dada wa watu hakufanya hivyo kwani yeye yupo Dar na Mume wangu yupo Morogoro. aliyewezesha wakutane ni huyu dada aliyeniunganisha nae na walionana siku mbili tuu. (kwa maelezo ya mume wangu na mazingira yenyewe nina uhakika na hili) kwa hiyo hamna namna yoyote ambayo huyo dada angefanya huo ujinga.

weeeeeeeee!!!!!!!

hata siku moja usimuapie mwanaume katika maisha yako!!wala usije ukamwamini 100%, utakufa siku si zako ndugu yangu!!! pole weeeeee.

Eti walikutana siku mbili!!! weweeeee!! ngoja nitoke kwani hata umri wako siujui!!!

Unasubutu kumwapia mwanaume!!! mwanaume!!! hivi wewe unawajua wanaume vizuri au unawasikia??????????
 
Ashukuiwe Mungu, aliyeiponya ndoa yako. Hogera kwa uvumilivu. Endelea kumlinda na kumtunza huyo mumeo.
Wala usihangaike kumuuliza uliza maswali mengi kuhusu hilo, we mwache, akijisikia kukueleza atakueleza.
 
Nimejikuta nafurahi pamoja na wewe mwaya, endelea kumuomba mungu hilo tatizo lisijirudie. Na hongera kwa uvumilivu
 
weeeeeeeee!!!!!!!

hata siku moja usimuapie mwanaume katika maisha yako!!wala usije ukamwamini 100%, utakufa siku si zako ndugu yangu!!! pole weeeeee.

Eti walikutana siku mbili!!! weweeeee!! ngoja nitoke kwani hata umri wako siujui!!!

Unasubutu kumwapia mwanaume!!! mwanaume!!! hivi wewe unawajua wanaume vizuri au unawasikia??????????

Ha ha ha ha, Susy mamito, si yakale yamepita mpenzi.
Na wakati huu ni wakufurahi pia mama, badilisha hiyo avatar basi.
Tunaokomboa wakati wetu, kuwa wakati wa furaha, huku tukiamini wakati wa majonzi umepita.

Blessing.
 
weeeeeeeee!!!!!!!

hata siku moja usimuapie mwanaume katika maisha yako!!wala usije ukamwamini 100%, utakufa siku si zako ndugu yangu!!! pole weeeeee.

Eti walikutana siku mbili!!! weweeeee!! ngoja nitoke kwani hata umri wako siujui!!!

Unasubutu kumwapia mwanaume!!! mwanaume!!! hivi wewe unawajua wanaume vizuri au unawasikia??????????



sio siku zote wa mbili havai moja, Susy!!!!!!
 
mvumilivu kwani sasa tatizo lake limeisha. sikuamini...niliruka hadi nikamwaga soda niliyo kua nakunywa

mmmhh kwa kufurahia pls kunywa vaisroooooooooooooo niachie invoice r/garden
 
Hongera sana dada kwa uvumilivu wako,
MUNGU aliona,alisikia kilio chako,
na sasa amekujibu,
kupitia mwanasaikolojia.
Furaha yako iwe ya kudumu,
pia endelea kumtafuta mwanasaikolojia ila umshukuru ksb yeye ndiye chanzo cha furaha yako,
Mumeo usimuulize sana maswali kipindi hiki,mpe muda yeye mwenyewe atakwambia kwa muda atakaoona unafaa wewe kuambiwa.
 
weeeeeeeee!!!!!!!

hata siku moja usimuapie mwanaume katika maisha yako!!wala usije ukamwamini 100%, utakufa siku si zako ndugu yangu!!! pole weeeeee.

Eti walikutana siku mbili!!! weweeeee!! ngoja nitoke kwani hata umri wako siujui!!!

Unasubutu kumwapia mwanaume!!! mwanaume!!! hivi wewe unawajua wanaume vizuri au unawasikia??????????



ha hahaha susy ulivyoongea kwa msisitizo???!!!!,

Susy nina tatizo na avatar yako kila nikiiangalia NI LAZIMA machozi yanilengelenge machoni mwangu,
sa sijui kwa nini??, mbona avatar zingine zoote naangalia bila kutokea na hali hii??,

NTASHUKURU ukinipa ufafanuzi, Asante.
 
dadam,

Ina maana mumeo ulikuwa "haumfikishi" ndiyo maana akawa Dunga_Dunga!

Huyo rafikiyo anafahamu jinsi ya kukamua!
 
Back
Top Bottom