nilitegemea genius brain ingetoa mtizamo wake wa mabo na sio kauli z amjumbe wa bodi.
Tanesco ilikubali uhaulishwaji wa mkataba under duress (kwa kulazimishwa na serikali). Nini matokeo ya mkataba ulioingiwa kwa kulazimishwa?
Huyo wakili ni nani Mtanzania au taifa gani?
Accounti ya DOWANS iko wapi na nani watakao saini kuchomoa pesa?
Kwani DOWANS ni mtu? si kuna watu nyuma yake ni kina nani hao watajwe?