Mkuu,
Hapa JF inajulikana kuwa kuna chama kimoja tu cha upinzani. Hata wewe huwa unadiscourage ushirikiano wa Upinzani katika threads nyengine. Kama umebaini udhaifu huu basi tushabihishe upinzani wafanye kazi kwa pamoja ili wapate kutumia nguvu ya sauti yako kukuza kilio cha wananchi kwa serikali.
Chama kimoja kimoja bado ni weak, inapopambana na chama cha dola au dola yenyewe. Tunajua kuwa serikali ni CCM na CCM ni serikali.
wanafanya watakavyo. sasa huu wito wako ni mzuri lakini tuwasaidie vyama vya upinzani kwa kuwataka wafanye kazi ya kuwawakilisha wananchi bila ya kuweka maslahi ya chama mbele, utaifa mwanzo.
Hongera kwako kwa kauli hii,"Katika hili kofia ya CDM nitaiweka pembeni kwa muda nakujikosoa mwenyewe"
Sasa elewesha na CDM wengine ili waone haja ya kuacha malumbano yasiyo na tija ya kuita vyama vyengine CCM-B, C, D, wameolewa, wanandoa, wanalala kitanda kimoja na kama hayo haya yanarudisha nyuma upinzaniMaslahi ya taifa mwanzo na matatizo ,shida za wananchi kama ulivyoyataja yako mengi na yanahitaji kupatiwa ufumbuzi.
Hapa JF inajulikana kuwa kuna chama kimoja tu cha upinzani. Hata wewe huwa unadiscourage ushirikiano wa Upinzani katika threads nyengine. Kama umebaini udhaifu huu basi tushabihishe upinzani wafanye kazi kwa pamoja ili wapate kutumia nguvu ya sauti yako kukuza kilio cha wananchi kwa serikali.
Chama kimoja kimoja bado ni weak, inapopambana na chama cha dola au dola yenyewe. Tunajua kuwa serikali ni CCM na CCM ni serikali.
wanafanya watakavyo. sasa huu wito wako ni mzuri lakini tuwasaidie vyama vya upinzani kwa kuwataka wafanye kazi ya kuwawakilisha wananchi bila ya kuweka maslahi ya chama mbele, utaifa mwanzo.
Hongera kwako kwa kauli hii,"Katika hili kofia ya CDM nitaiweka pembeni kwa muda nakujikosoa mwenyewe"
Sasa elewesha na CDM wengine ili waone haja ya kuacha malumbano yasiyo na tija ya kuita vyama vyengine CCM-B, C, D, wameolewa, wanandoa, wanalala kitanda kimoja na kama hayo haya yanarudisha nyuma upinzaniMaslahi ya taifa mwanzo na matatizo ,shida za wananchi kama ulivyoyataja yako mengi na yanahitaji kupatiwa ufumbuzi.