Elisha Ray
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 323
- 94
Nimecheka sana leo nilipokuwa naangalia uchaguzi wa wabunge wa bunge la Afrika Mashariki. Nikakumbuka kipindi kile college/university wakati wa presentation ilikuwa ni vituko vitupu!! Wabunge 'to be' walikuwa wanajieleza na kuomba kura kwa lugha ya kiingereza basi kuna walokuwa wanatafuta maneno, etc but kuna mama mmoja wa CUF toka Mbeya alitoa mpya, yeye alikuwa anaongea English sijui ni ya wapi ile akashindwa kuendelea ikabidi aseme ana-withdraw jina lake dah!!