kizibo

kizibo

Mumble Banderezi

New Member
Joined
Oct 7, 2013
Posts
4
Reaction score
0
Mwalimu: wanafunzi, mkichukua minyoo ukaweka kwenye maji itafurahi na kurukaruka.......
na mkichukua minyoo hiyohiyo mkaweka kwenye pombe itaumia na kufa,..je mmejifunza nini katika somo hili

Kizibo: mwalimu me nimejifunza kuwa tukinywa pombe katika maisha yetu tutauwa minyoo yote iliyopo tumboni

Mwalimu hoi.........hahahahahaa....
:disapointed:
 
Back
Top Bottom