Kizazi cha nyoka ni kipi?

Kizazi cha nyoka ni kipi?

Naswali kidogo bro kipindi kile kain na abeli walikuwa pamoja ila wakaja pishana kidogo mmoja akamuuwa mwenzie kisa wivu sasa yule aliye muuwa mwenzie alienda ishi pekeake ila akaja akaoa sasa alimuoa mwanamke gani...???je mwanamke aliye muoa alikuwa ni ndugu yake ambaye alikuwa kazaliwa na eva *****,,,???mana kipindi kile watu walikuwa hakuna sasa uyo mke wa kumuoa alimuoa nduguye akazaa nae????kama alimua nduguye akazaa nae kwanini dunia ya sasa tunakatazwa kuoana ndugu kwa ndugu inakuwaje....????
 
swali langu lipo kidogo nje ya post yako ila nilikuwa naomba unisaidie kunijibu...
 
Naswali kidogo bro kipindi kile kain na abeli walikuwa pamoja ila wakaja pishana kidogo mmoja akamuuwa mwenzie kisa wivu sasa yule aliye muuwa mwenzie alienda ishi pekeake ila akaja akaoa sasa alimuoa mwanamke gani...???je mwanamke aliye muoa alikuwa ni ndugu yake ambaye alikuwa kazaliwa na eva *****,,,???mana kipindi kile watu walikuwa hakuna sasa uyo mke wa kumuoa alimuoa nduguye akazaa nae????kama alimua nduguye akazaa nae kwanini dunia ya sasa tunakatazwa kuoana ndugu kwa ndugu inakuwaje....????
Kwanza lazima utambue kuwa dunia yote ni ndugu moja kwa maana ya asili ile ya Eden, habari za ndugu kutooana ni mambo tu ya baadhi ya makabila na tamaduni
Kuhusu Kain kwamba alimuoa nani kuna ufafanuzi wake nitakujibu nitakapokuwa na hakika
 
Nimebaki na maswali.
1. Nyoka anamiliki ubo? if not walinjunjuanaje?
2. Nyoka anaweza kumpa ujauzito mwanadamu na akazaa binadamu na si nyoka?
Kwa kuongezea alivyosema mkuu Mshana jnr, nyoka na hata wanyama wa zamani kabla ya anguko pale edeni walikuwa na uwezo wa kuongea na binadamu , na nyoka alikuwa na mikono na miguu, wasomi wa dini wa kiyahudi wanasema nyoka walikuwa ni watumishi wa karibu wa binadamu hivyo walikuwa na urafiki, na kuzuia huo urafiki MUNGU akaweka uadui baada ya nyoka kukubali atumiwe na shetani,
 
Kwanza lazima utambue kuwa dunia yote ni ndugu moja kwa maana ya asili ile ya Eden, habari za ndugu kutooana ni mambo tu ya baadhi ya makabila na tamaduni
Kuhusu Kain kwamba alimuoa nani kuna ufafanuzi wake nitakujibu nitakapokuwa na hakika
na ndomana warabu wanaoana ndugu kwa ndugu pia na wapemba the same. kwaiyo akuna shida ya kuoana ndugu kwa ndugu ila ckuiz tuu watu wana compricatisha mambo.
 
rejea quran

Wengine ni kizazi cha n'ge.
35967361269cb40839fd3b76e10309aa.jpg
 
Ni jambo la kawaida kabisa Sikh hizi kusikia watu wakisema hiki ni kizazi cha nyoka! Ama huu ni uzao wa nyoka?
Kwanini asiwe mnyama mwingine yoyote? Kwanini awe nyoka?
Kwani ni kweli kwamba hiki ni kizazi cha nyoka?
Kilianza lini?
Kizazi cha nyoka kikoje?
Kinyume cha kizazi cha nyoka ni kipi? Au mbadala wake!!!
Majibu ya maswali yote haya yanaturudisha pale Eden kwenye tunda la mti wa kati, na wahusika wale watatu Nyoka,Eva na Adam
Tafsiri ziko nyingi kuhusiana na Siri ya tunda la mti wa kati kama tylivyoona kwenye mada zilizotangulia
Moja yenye kutoa ufunuo kwa akili za kitafiti za kibinadamu ni kwamba Eva alianza kuzini na nyoka na alipoona ni jambo jema akamshirikisha na Adam
Ni katika ngono hiyo ya kwanza ndipo mimba ya Kaini (Cain) ilitungwa!
Kwamba Kaini si mtoto wa Adam wa kumzaa...na wakati wanafukuzwa kutoka Eden tayari Eva alikuwa ni mjamzito wa Kain (uzao wa nyoka?)
Baada ya Kaini kuzaliwa, Eva alibeba tena mimba ya Abel ambayo sasa hii ni OG ya Adam na kwakweli Adam alikuwa na furaha na huyu mtoto
Tufupishe yaliyopita mpaka pale kufika kutoa sadaka kwa Mungu!
Kwanini Kain matoleo yake yalikuwa dhaifu na hayakupokelewa na Mungu?
Je ni kwa vile hakuwa uzao halisi wa Adam bali wa nyoka hivyo hakuona umuhimu kutoa kwa 'babu wa kambo?'
Je hili halipo hata leo hii? Kwamba kwenye mambo ya dhambi tunatoa zaidi na kwa furaha kuliko kwa Mungu?

Abel alitoa kama Mungu alivyoagiza na akabarikiwa...alifanya hivyo kwakuwa alijua kule ndio asili yake isiyo na mawaa achilia mbali laana kwa wazazi wake tu?
Kain kwa hasira alikuja kumuua mdogo wake na kumzika kondeni na kudanganya kuwa hajui ndugu yake yuko wapi
Tangu hapo dhambi ya kuua kuharibu na kudanganya viliingia ulimwenguni
Tangu hapo kumekuwa na vizazi viwili kizazi cha Mungu uzao wa Adam kupitia Abel na uzao wa nyoka kupitia Kaini
Unaweza kuniuliza nani aliendeleza uzao wa Abel wakati aliuawa na ndugu yake bila kuacha mtoto? Kumbuka roho haifi! Hapa dhana ya reincarnation unaweza kuona jinsi inavyojipenyeza
Enyi kizazi cha nyoka mwawezaje kusema mambo mema hali ninyi ni waovu...?(Mathayo 12:34)
Hiki ni kizazi cha nyoka....!!!
Hahaha nishajua sasa kwanini kuzikuta bikra ni issue Adam mwenyewe tu aliumbiwa wa kwake pekeake na hakuikuta kwa mujibu wa kaka mkubwa mshana jr
 
Moja yenye kutoa ufunuo kwa akili za kitafiti za kibinadamu ni kwamba Eva alianza kuzini na nyoka na alipoona ni jambo jema akamshirikisha na Adam
Ni katika ngono hiyo ya kwanza ndipo mimba ya Kaini (Cain) ilitungwa!


sijajua maneno hayo hapo juu yanapatikana katika kitabu gani?? Afu nyoka huyo alikuwa na mjegeja nini??
 
Back
Top Bottom