Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Mashabiki wa PSG wamemzomea juzi juzi
Kanataka kuwapandilia walioitoa mbali psg. Last week psg ilishinda goli 8,
De maria alipiga 2
Cavani alipiga 2
Mtoto wa mama akapiga 3 na 1 ya penalt, alishindwa nini kumwachia cavani nayeye apige hattrick!!! Angelikuwa Messi ashamwachia apige penalt ili wote wapate hattrick. ana tamaa mno kabisho