Hata baadhi ya ndoto mbaya na majinamizi hutokana na kulala kizani na kuwaza mambo ya kutisha
ndio maana mara nyingi watu wenye hofu na giza hushauriwa walale bila kuzima taa..kitu ambacho kwangu ni mwiko kabisa
Hata baadhi ya ndoto mbaya na majinamizi hutokana na kulala kizani na kuwaza mambo ya kutisha
ndio maana mara nyingi watu wenye hofu na giza hushauriwa walale bila kuzima taa..kitu ambacho kwangu ni mwiko kabisa
Huyu ndege huyu huku kwetu ni nuksi na mikosi ukimuona asubuhi nje ya nyumba yako lakini huko kwa wachina ni bonge la bahati
Japo hizi ni imani tu kutokana na tamaduni mbalimbali lakini imani huumba
Huyu ndege huyu huku kwetu ni nuksi na mikosi ukimuona asubuhi nje ya nyumba yako lakini huko kwa wachina ni bonge la bahati
Japo hizi ni imani tu kutokana na tamaduni mbalimbali lakini imani huumba