Kiwanja kizuri cha kula bia Mwanza

Kiwanja kizuri cha kula bia Mwanza

kibovu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
748
Reaction score
789
Wakuu poleni na maumivu ya january,

Ndugu zangu sina mengi ijumaaa nimeagizwa kikazi mwanza na ofsi na sijawahi kula bata Mwanza nawaomba mnipe ramani ya kiwanja kizuri kilichochangamka chenye watoto classic ambacho ntakula bia huku nimebambia mtoto classic wa jiji la mwanza

Shukrani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom