Kiwanja kinauzwa Moshono Arusha

Kiwanja kinauzwa Moshono Arusha

NOSVELA ,Moshono-Laizer.
Ni nzuri sana iwapo utanunua afu unaikata vipande vidogo vidogo, kwa badae unauza kwa faida.

unaweza kupakata mara nne(20/35) afu ukaja uza@ kwa milioni 10.

Profit unapata mara nne ya kununulia.
 
JIPATIE SURVEYED PLOT@SAKINA,ARUSHA.

Habari ya jioni wana JF.

Ninauza kiwanja chenye ukubwa wa 20M/40M maeneo ya SAKINA,ARUSHA MEAT.

-MAENEO NI TULIVU SANA.

-BEI NI MILIONI 35.
-HAPANA MGOGORO
-PANAFIKIKA KWA GARI.
-KUTOKA LAMI NI KILOMETA 1.

KARIBUNI*KARIBUNI
+255767287941
 

Attachments

  • Sakina..1.jpg
    Sakina..1.jpg
    8.2 KB · Views: 95
  • Sakina.2.jpg
    Sakina.2.jpg
    7.6 KB · Views: 98
  • Sakina..3.jpg
    Sakina..3.jpg
    8.3 KB · Views: 98
Wadau hakuna haja ya kuhifadhi pesa zoote benki badala yake ziwekeze katika Ardhi, ufurahie faida,

Arusha ni mji poa kwa ajili ya uwekezaji wa Ardhi,Thamani ya Ardhi Hapa Arusha imekuwa ikiongezeka kila mwezi.

Tunazo shuhuda za wananchi walionunua Ardhi kwa milioni 2 au 3 ambapo baada ya miaka 4, wanauza kwa milioni 40-60,

Changamkieni Fursa wadau.

Karibuni sana.
 
wadau viwanja bado vipo,
Iwapo unahitaji Plot sehemu yeyote
Ndani na Nje ya jiji La Arusha wasiliana
nasi.


Jina la Kampuni:
Dalali-Arusha Real estate and marketing
properties.

MAWASILIANO:
+255767287941
 
Nyumba ya Kisasa @ Sombetini,Arusha.

Nyumba ina:
-Vyumba 3(1 masta).
-Choo cha Public.
-Dinning+Living rm.
-Shaded Car Port.
-Nyumba ya watumishi+2 Bdrm.
-Full tiled.
-Paving block.
-Nyumba ina Geti & Ukuta.

BEI:
45 milioni

MAHALI:
-Sombetini,Arusha Tanzania.
-400M Kutoka barabara ya mtaa.

MAWASILIANO:
+255767-287 941
 
PATA NUSU HEKA @
MOSHONO,ARUSHA.

Kiwanja kinaukubwa wa:
-2450sqm(35/70M)
-Panafikika kwa Gari.
-Haina mgogoro
-Hati zote zipo.
-View ya Mlima Meru+Kilimanjaro.

BEI:
15 milioni

MAHALI:
-Moshono,Arusha Tanzania.
-300M Kutoka barabara ya mtaa.

KARIBUNI*KARIBUNI:
+255767-287 941
 
Mdau makini ungeweka picha ya hiyo nyumba ingekuwa pouwa sanaa. Ipo sombetini baada ya lami?
 
Nina nyumba Majengo Sacon Arusha ina four rooms moja ni master dinning na sitting room joined na ni kubwa.nipe offer yako kwa kuni PM
 
PATA ZAIDI YA NUSU HEKARI @
MOSHONO,ARUSHA. Kiwanja kinaukubwa wa:
-3500sqm(35/100M)
-Panafikika kwa Gari.
-Hapana mgogoro
-Hati zote zipo.
-View ya Mlima Meru+Kilimanjaro.

BEI:
11 milioni

MAHALI:
-Moshono,Arusha Tanzania.
-300M Kutoka barabara ya mtaa.

KARIBUNI*KARIBUNI:
+255767-287 941
 
PATA ZAIDI YA NUSU HEKARI @
MOSHONO,ARUSHA.

Kiwanja
kinaukubwa wa:
-3500sqm(35/100M)
-Panafikika kwa Gari.
-Hapana mgogoro -Hati zote zipo.
-View ya Mlima Meru+Kilimanjaro.

BEI:
11 milioni

MAHALI:
-Moshono,Arusha Tanzania.
-300M Kutoka barabara ya mtaa.

KARIBUNI*KARIBUNI:
+255767-287 941
 
PATA ZAIDI YA NUSU HEKARI @
MOSHONO,ARUSHA.

Kiwanja
kinaukubwa wa:
-3500sqm(35/100M)
-Panafikika kwa Gari.
-Hapana mgogoro -Hati zote zipo.
-View ya Mlima Meru+Kilimanjaro.

BEI:
11 milioni

MAHALI:
-Moshono,Arusha Tanzania.
-300M Kutoka barabara ya mtaa.

KARIBUNI*KARIBUNI:
+255767-287 941
 
PATA ZAIDI YA NUSU HEKARI @
MOSHONO,ARUSHA.

Kiwanja
kinaukubwa wa:
-3500sqm(35/100M)
-Panafikika kwa Gari.
-Hapana mgogoro -Hati zote zipo.
-View ya Mlima Meru+Kilimanjaro.

BEI:
11 milioni

MAHALI:
-Moshono,Arusha Tanzania.
-300M Kutoka barabara ya mtaa.

KARIBUNI*KARIBUNI:
+255767-287 941

Naweza kupata kiwanja shangarai 20*30? Au zaidi???
 
kina ukubwa wa 30mt kwa 13mt kuna umeme na maji mita chache toka cr pub moshono arusha bei 14ml mawasiliano 0754 595256

nadhani umekosea....ulitakiwa useme "barabara inauzwa moshono arusha" kiwanja kina upana wa barabara hicho na urefu wa mita 30...kimekaa kimazabe sana aisee...ingawa najua kwa utaalamu wangu naweza kuweka kijumba cha maana sana tuu.
 
pata zaidi ya nusu hekari @
moshono,arusha.

Kiwanja
kinaukubwa wa:
-3500sqm(35/100m)
-panafikika kwa gari.
-hapana mgogoro -hati zote zipo.
-view ya mlima meru+kilimanjaro.

Bei:
11 milioni

mahali:
-moshono,arusha tanzania.
-300m kutoka barabara ya mtaa.

Karibuni*karibuni:
+255767-287 941

ujuwe wewe mie utani sipendi......hiyo moshono ipi unayoiongelea? Acha masihara bana..au unauza shamba huko milimani?
 
ujuwe wewe mie utani sipendi......hiyo moshono ipi unayoiongelea? Acha masihara bana..au unauza shamba huko milimani?

Shamba ipo mahala tambarare,udongo mwekundu upo kwenye ilo shamba tu sehemu nyingne ni mweusi.

Ni mita 300 kutoka barabarani.
Ikizidi hizo mita nitakulipa kwa Usumbufu.

Na pia hiyo Bei huenda ndo inakufanya uone mizinguo, Inauzwa kwa ajili ya Shida tu.
 
Back
Top Bottom