Kiwanja kinauzwa Moshono Arusha

Kiwanja kinauzwa Moshono Arusha

NOSVELA

Senior Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
198
Reaction score
27
Kina ukubwa wa 30mt kwa 13mt kuna umeme na maji mita chache toka cr pub moshono arusha bei 14ml MAWASILIANO 0754 595256
 
Hauna kingine cha bei ndogo hata kama kipo mbali na barabara?
 
Ninacho cha milioni 9 ukubwa 25M kwa 18M,
Umbali wa barabara ni kilometa 1.


-40M Kwa 36M Bei milioni 12,
Umbali wa barabara ni mita 400


-18M kwa 36M Bei milioni 12.
Umbali wa barabara ni mita 800

-20M kwa 34M Bei 15milioni
Umbali kutoka barabara ni mita 100,

Vyote vipo Moshono


MAWASILIANO:
+255767287941
 
Mdau Makin

Viwanja hivyo viko maeneo gani? MOSHONO stendi?
 
wadau viwanja/mashamba bado yapo..
Ni PM iwapo unauhitaji
 
Usisumbuke kupata nyumba au viwanja
Arusha.

wasiliana nasi ili ujipatie kwa
urahis.

MAWASILIANO:
+255767287 941

Karibuni sana.
 
Hekari nzuri kwaajili ya ufunguzi wa
Hotel,Lodge,Shule au Club,
Zinapatikana.


1.MOSHONO
Hekari: 1
Umbali:mita 5 kutoka mipaka ya
barabara.
Bei: 180 Milion.
Kutoka mjini: 4.5 Kilomita.

2. KISONGO
Hekari: 50
Umbali: Kilomita 2 kutoka barabara ya
lami.
Bei😡 Milioni 12.

3.NDURUMA:
Hekari :106
Umbali: mita 20 kutoka barabarani.
Bei: @ milioni 7
Kutoka mjini: Kilomita 18.

4.MLANGARINI
Hekari:5
Umbali:mita 300 kutoka barabara
Bei😡 milioni 15.
Kutoka mjini:Kilometa 12.

5.USA
Hekari:1
Umbali:Mita 900 Kutoka barabara.
Bei: milioni 60.
Umbali kutoka barabara.

6.KISERIANI(near moshono)
Hekari:10
Umbali : Kilometa 2 Kutoka barabara.
Bei milioni 25. Kutoka mjini ni kilometa 7

7. BWAWANI:
Hekari: 200
Umbali:mita 50 kutoka barabara.
Bei: @ milioni 5
Kutoka mjini ni kilometa 22 Mashamba yako jirani na chuo cha
mandela.

8. MAJENGO:
Hekari:500
Umbali: mita 20 kutoka barabara.
Bei😡 Laki 8
Kutoka mjini(city center) ni kilomita 35.
 
wadau viwanja bado vipo,
Iwapo unahitaji Plot sehemu yeyote Ndani na Nje ya jiji La Arusha wasiliana nasi.

MAWASILIANO:
+255767287941
 
Kama unahitaji nyumba, viwanja,
magari, vyumba, frem za
maduka, nyumba za stoo(Godown) n.k.
ndani ya jiji la Arusha wasiliana
nasi kwa 0767287941

Kwa sasa tuna:
1.Nyumba yenye vyumba vinne
4, master 2, vya kawaida 2, choo
ya public, jiko, dinning room,
sitting room,
jiko na stoo vya nje.
Nyumba ya nje yenye chumba na sebule. Uzio mita 500 toka barabara ya lami(Old Moshi Road jirani na Club D.
. Iko mtaa wa Moshono,Maji ya kumwaga(INAPANGISHWA).

2.Nyumba ya kisasa Moshono. Ina maji
na umeme, vyumba vi3(masta 2),Full tiled,
Inauzwa(Milioni 90),
Mita 800 kutoka barabarani.

3.Kiwanja kiko Sakina,Arusha meat
Ukubwa 40/20,Tittle deed,
Kilometa moja kutoka lami.


4.Kiwanja 35 kwa 70. Kipo
Kisongo,Arusha(Milioni 5).


KARIBUNI WOTE.
0767287941
 
Iyo nyumba ya kupangisha ni shiling ngap kwa mwez?
 
Nina milion 7 ntafutie kiwanja maeneo ya moshono au tengeru
 
wadau viwanja bado vipo,
Iwapo unahitaji Plot sehemu yeyote
Ndani na Nje ya jiji La Arusha wasiliana
nasi.

Jina la Kampuni:
Dalali-Arusha Real estate and marketing properties.

MAWASILIANO:
+255767287941
 
Back
Top Bottom