Mdau Makin
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 767
- 207
nadhani umekosea....ulitakiwa useme "barabara inauzwa moshono arusha" kiwanja kina upana wa barabara hicho na urefu wa mita 30...kimekaa kimazabe sana aisee...ingawa najua kwa utaalamu wangu naweza kuweka kijumba cha maana sana tuu.
Hicho mbona kikubwa sana?
watu wanauziwa 15*20 au 10*20 na wananunua.
Hapa Moshono ukiotea cha zaidi ya miguu 20*30 kwa milioni 20,shukuru Mungu saana tena sana tu.
Hii ni kazi yangu kama una kingine uliza.