Hapana mkuu wangu sio mkuranga ni pale kongowe unaingia barabara ya kwenda kigamboni ni kilometa kama 5 hivi kutoka kongowe.Ni kongowe hii kutoka Mbagala tunazama bondeni na kuinukia juu kuelekea Mkuranga sio?
Rahisi mno kaka. Ni kweli viwanja vinapanda thamani kila siku maana 2011 wakati tunanunua hili eneo bei ilikuwa chini mno. Na ukuaji wa huku ni wa kasi sana naamini hata miaka mitano mbele inaweza kuwa zaid maana kuna hospitali kubwa sana inajengwa mfano wa muhimbili jirani na eneo ambapo ni meta 300 tu.Mbona bei rahisi sana kama unashida ya hela tafuta namna nyingine..hicho ukivumilia miaka 10 una million 150 zako.
Okay Mkuu....kila la kheri. Unavuka kwa Mh Punda?Hapana mkuu wangu sio mkuranga ni pale kongowe unaingia barabara ya kwenda kigamboni ni kilometa kama 5 hivi kutoka kongowe.
Ifikq 12 nipo hapa kinoOfa nzuri sana kaka ila ukubwa wa kiwanja eneo kilipo na kwa kuwa tayari kimepimwa na kina hati, haiwezi kuwa chini ya 16
Haitakaa ifike kaka, maana hapa ni nyumbani tutajenga tu hostel za madaktariIk
Ifikq 12 nipo hapa kino
Kwa kelvin yondaniOkay Mkuu....kila la kheri. Unavuka kwa Mh Punda?
OkKwa kelvin yondani
Okay kumbe karibu na kile chuoHaitakaa ifike kaka, maana hapa ni nyumbani tutajenga tu hostel za madaktari
Ndio mkuuOkay kumbe karibu na kile chuo
Je kiwanja chako kiko eneo la tambarare au kwenye mwinuko?Nauza kiwanja kipo Toangoma Malela
Ukubwa sqm 800 (40×20)
Kiwanja kina hati ya wizara miaka 90
Mtaa umepangika vizuri na barabara za mtaa safi.
Kilometa 1.5 kutoka barabara ya Kongowe Kigamboni (Funcity)
Kilometa 1 kutoka barabara ya vikunai Chekechea.
Bei Tsh Milioni 18 (Neg)
0717727504
Njoo utembelee kiwanja kaka. Ama nitumie msg whatsapp nikutumie video ya kiwanja 0654846084Je kiwanja chako kiko eneo la tambarare au kwenye mwinuko?
Mkuu hiki kiwanja uliuza?Njoo utembelee kiwanja kaka. Ama nitumie msg whatsapp nikutumie video ya kiwanja 0654846084
Ukikosa hicho njoo nkuuzie viwanja vyangu vipo kisarawe IIMkuu hiki kiwanja uliuza?
Bei ganiUkikosa hicho njoo nkuuzie viwanja vyangu vipo kisarawe II
Weka bei na size mkuu, mawazo hubadilika wakati wowote!Ukikosa hicho njoo nkuuzie viwanja vyangu vipo kisarawe II
785sqm bei ni 13mBei gani
785sqm bei ni 13mWeka bei na size mkuu, mawazo hubadilika wakati wowote!
Nauza kiwanja kipo Toangoma Malela
Ukubwa sqm 800 (40×20)
Kiwanja kina hati ya wizara miaka 90
Mtaa umepangika vizuri na barabara za mtaa safi.
Kilometa 1.5 kutoka barabara ya Kongowe Kigamboni (Funcity)
Kilometa 1 kutoka barabara ya vikunai Chekechea.
Bei Tsh Milioni 18 (Neg)
0717727504
Kina documents zipi mkuu?785sqm bei ni 13m