Nijosnotes
Member
- Aug 1, 2021
- 85
- 79
- Thread starter
- #41
Tutawasiliana, nikiuza changu ni nunue hichoNipo kwa pilika pilika za mjini.. Kama upo around karibu ukaangalie site
Tutawasiliana, nikiuza changu ni nunue hichoNipo kwa pilika pilika za mjini.. Kama upo around karibu ukaangalie site
Shukrani mkuu, kitauzika tu bila kwenda huko.Hicho kiwanja hakiuzuki mkuu! Njoo PM nikusaidie kusafisha nyota ya hicho kiwanja pamoja na kuondoa mauzauza yote. Bei maelewano!
Igoma ndio mbagala ya mwanzaBuhongwa si ndio mbagala ya mwanza
😂😂😂😂Tutawasiliana, nikiuza changu ni nunue hicho
Mawasiliano:Mkuu chukua M8.5
Napiga haipokelewiMawasiliano:
0627024790
Kama hapokei nakukaribisha inbox mzee.. bei ni nzuri na eneo ni zuri sana.Napiga haipokelewi
Kama hapokei nakukaribisha inbox mzee.. bei ni nzuri na eneo ni zuri sana.
Msema kweri ni mpenzi wa Mungu: (In Memory of the Late President).. Nina site naiuza maeneo hayo nimesema, ila sipo mkoani Mwanza kwa sasa na sina picha.. Ukiwa tayari kwenda kuiona nitakuunganisha na familia.. Site ni nzuri sana.Mkuu hebu weka picha ya eneo lako. Kama vipi weekend nikutafute
Msema kweri ni mpenzi wa Mungu: (In Memory of the Late President).. Nina site naiuza maeneo hayo nimesema, ila sipo mkoani Mwanza kwa sasa na sina picha.. Ukiwa tayari kwenda kuiona nitakuunganisha na familia.. Site ni nzuri sana.
Potential ya site; Umeme na maji tayari, wenyeji tulitegemea lami ingekuwa inapita by mwakani.. Ile lami ya kuunganisha Buhongwa na Kishiri, lkn bado. Site ipo kama mita 70 au 100 toka the main road ya Buhongwa-Kishiri
Changamoto ya site: Ipo somewhere km 2.5 or more toka Buhongwa bus stand
Sababu ya kuiuza; Nimepungukiwa kama 6.5-7m kwa matatizo yangu... Napambana kuitafuta upande mwingine, nikiipata kwingine nabaki na site yangu!
Ukiwa tayari tutaendelea inbox..
KaribuNmekupata. Nami nipo chato lubambangwe. Ngoja nitafute mtu aliye karibu aje apaone
Halafu huwa mnachukulia Mbagala kama vile ushwahili sana.Igoma ndio mbagala ya mwanza
Bei bado ipo juu sanaKiwanja bado kipo, Ukubwa ni sqm 1200 bei ni 13 Milioni... kiwanja kipo barabarani kabisa ni tambalale hakina mawe, mita 800 tu toka buhongwa stendi, kimezungukwa na nyumba za kishua, huduma zote za muhimu zipo.
mawasiliano:
0627024790
Ni ya kawaida kwa eneo kiwanja kilipoBei bado ipo juu sana