Nijosnotes
Member
- Aug 1, 2021
- 85
- 79
- Thread starter
- #21
Acha tu mkuu, hayo ni madhara ya kupiga k-vant alafu unatembea juani.😆😆😆 La Kuna watu nishida
Acha tu mkuu, hayo ni madhara ya kupiga k-vant alafu unatembea juani.😆😆😆 La Kuna watu nishida
Igoma pako powa ila buhongwa jioni ukiena kuhemea mboga mboga za elfu moja kapu linajaamwanza hakuna sehemu inakaribiana na mbagala.
nimejaribu kuifananisha Igoma, ila imegoma.
Jero ya nini?Sasa mbona nna jero tuu hapa
sawa sahivi kimefika 15 millioni
sawa mkuu ikifika nitakwambia.Tarehe kama ya leo. Mwezi uliopita nilikuambia ikifika Milioni 8 . Niambie.
Leo tena Narudia ikifika Milioni 8 niambie. Hata PM.
nataka kiwanja buhongwa ila hiyo bei yako umeidalalia....nina wenyeji huko nitanunua kwa bei nzuri na sehemu nzuri tuBei imseshuka jamani sasa ni Tsh. 13,000,000/= kiwanja ni squaremetre 1200 tambalale kipo jirani na Buhongwa stendi mita 800..
HAKINA UDALALI!
mawasiliano:
0627024790
Hiki hakipo kule bondeni kwenye mto ambapo mvua ikinyesha panakuwa bahari?Bei imseshuka jamani sasa ni Tsh. 13,000,000/= kiwanja ni squaremetre 1200 tambalale kipo jirani na Buhongwa stendi mita 800..
HAKINA UDALALI!
mawasiliano:
0627024790
Kipo upande gani ukitokea Mkolani?Bei imseshuka jamani sasa ni Tsh. 13,000,000/= kiwanja ni squaremetre 1200 tambalale kipo jirani na Buhongwa stendi mita 800..
HAKINA UDALALI!
mawasiliano:
0627024790
Piga hiyo namba, uongee na mwenye kiwanja maelewano yaponataka kiwanja buhongwa ila hiyo bei yako umeidalalia....nina wenyeji huko nitanunua kwa bei nzuri na sehemu nzuri tu
Mkono wakushoto, mbele kidogo tu ya Veta
Hakipo bondeni, kipo barabarani njia kwenda shule yamsingi VictoriaHiki hakipo kule bondeni kwenye mto ambapo mvua ikinyesha panakuwa bahari?
Sent using Jamii Forums mobile app
picha?Buhongwa hapo hapo, kuna 35 x 40, along Kishiri road .. 7m bei ya kutupwa. Anayeandika ndo mwenye kiwanja, bei ya kutupa ardhi.
Nipo kwa pilika pilika za mjini.. Kama upo around karibu ukaangalie sitepicha?