Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,809
- 156,946
Bado kipo?Wataalam mbona kimya sana kulikoni
Bado kipo?Wataalam mbona kimya sana kulikoni
Gemima20 kama Gemima20 si wa mchezo mchezo naona watu wamenyooshwa humu na wamenyoka kama ruler 📏 😅 😁Wataalam mbona kimya sana kulikoni
Bado kipa unasemaBado kipo?
KisalimieBado kipa unasema
Hata kikiuzwa kisiuzwe hii thread itaendelea kuwepo hewani kwahisa ya watu wanaochukia uloziKisalimie
Ni dalali itakua
Muuzaji mwenye Mali angejali wateja
Humu hamna wateja, mteja akiona namba ya simu tayar angeshampigia muuzaji.... vijana wengi humu njaa kalii
hata utumie telescopes, ningumu kuipata
Haha haha. Mkuu umemalizaMkuu acha dharau basi, yaani unataka kutuuzia hekari moja ya JARUBA LA MPUNGA kwa milioni 12? Kweli?
Sasa si utoke humu kama umeshapata wateja kelele za nini Bojo au hujakoma na spana ulizopigwa 😜😜😜Umenifurahisha mbona wanunuzi wanapiga simu wanaulizia kuhusu vitisho vyenu vyakupanga mezani mnavyovitengeza kama ni kweli au ni FITINA za kupanga nawajibu kisha tunapanga muda wa kukutana ili waangalie kiwanja, hii mbinu yenu ya kutishia watu wasinunue vitu vya watu imgonga mwamba kwakua nyie ni waatalam mko kazini tafuteni mbinu nyingine mpya ongeza ubunifu,
Waliofikiri wananiniwangia kumbe wanananisaidia kutangaza biashara zangu kila wakati Tangazo langu liko juu linapata viewas wengi ongeza juhudi ikiwezekana zuia hata simu nenda kwenye makampuni ya simu waambie waweke hivi mtu akipiga simu ajibiwe hivi namba unayopiga kiwanja kimejaa maji pia kina migogoro usinunue utapoteza pesa zako msiishie hapa JF tu.
Spana za wataalam au spanagani?Sasa si utoke humu kama umeshapata wateja kelele za nini Bojo au hujakoma na spana ulizopigwa 😜😜😜