AqKiwanja kilicho karibu na ufukweni kinahitajika,kama kuna mtu yoyote anacho aje pm sasa hivi.
Hapa Dar mzeeninacho kipo ufukweni mwa ziwa Tanganyika.
Umekwisha pata!?Kiwanja kilicho karibu na ufukweni hapa Dar kinahitajika,kama kuna mtu yoyote anacho aje pm sasa hivi.Aisee anaekihitaji ana hela nyingi mkononi
Bado
Kina ukubwa gani tajiriKuwa specific unataka maeneo gani? Ukubwa gani? Mimi ninacho ila ni Mbutu Kigamboni kama mita 500 kutoka beach
Kilichopo karibu na ufukwe wa bahariKuwa specific unataka maeneo gani? Ukubwa gani? Mimi ninacho ila ni Mbutu Kigamboni kama mita 500 kutoka beach
Ilimrad kiwe karibu na fukwe za bahari
Tatizo ni ukaribu huo unaousema Ni upi!?Ilimrad kiwe karibu na fukwe za bahari
Mita 200 sio mbayaTatizo ni ukaribu huo unaousema Ni upi!?
Km 1, mita 200, facing the ocean.. ukisema itakuwa rahisi.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sqm 780Kina ukubwa gani tajiri
Kutoka Nyangumi Villa ni kama mita 500. Ukiwa kwenye kiwanja unaweza sikia sauti za mawimbiKilichopo karibu na ufukwe wa bahari
Nyangumi villa iko wapi mkuuKutoka Nyangumi Villa ni kama mita 500. Ukiwa kwenye kiwanja unaweza sikia sauti za mawimbi
Poa nshakuwekea namba Mida ya Saa tatu nicheki
Villa NyangumiNyangumi villa iko wapi mkuu