Habari wanajamii, naomba msaada kwa yeyote anaeweza kunipa taarifa sahihi ya uwezekano wa kupata kiwanja cha makazi maeneo ambayo ni nje kidogo ya mji wa Dar es salaam lakini si mbali sana kwa kiasi hicho cha fedha.
Natanguliza shukurani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.