Kiwanja cha hekari 10 kinauzwa Singida

Kiwanja cha hekari 10 kinauzwa Singida

Sanjally

Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
97
Reaction score
17
Wakuu kwema,

Kiwanja cha hekari 10 kinauzwa Singida eneo la Mandewa karibu na hospitali ya rufaa, km 6 kutoka round about iliyo karibu na uwanja wa peoples,kila heka inauzwa milion 3, eneo limepimwa na linafaa kwa ujenzi wa shule, msikiti, hotel, hospitali, kanisa, kilimo n.k .

Wanaohitaji tuwasiliane kupitia no hii hapa 0762489597
 
Back
Top Bottom