Kiwango cha mwisho cha matumizi ya internet bila kikomo...Vodacom

Kiwango cha mwisho cha matumizi ya internet bila kikomo...Vodacom

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,145
Wakuu naomba nijue kuhusu hawa voda, je ukitumia mpaka gb ngapi ndipo speed inapungua?
Jumapili nilijiunga na kifiruahi cha wiki, nikatunia siku moja tu speep ikaanza kuwa ya kobe...leo nimeunga ya siku speed iko poa tu!!

Sasa kuna ukomo wowote au hivi vifurushi vya wiki vinachakachuliwa?

Asanteni!!
 
Back
Top Bottom