Kv-london
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 2,891
- 5,063
Wakuu nimemaliza shahada ya elimu mwaka huu, masomo ni Kiingereza na Kiswahili.
Ila kazi za tempo zimebana sana kwa sasa.
Nisaidieni connection ya shule yoyote nikafundishe hayo masomo. Nipo Dar.
kwa masomo yako utaendlea kusubri sana pga vibarua vya saidia fundi kitaa huk unachek mishe nyingne,
salary ya gvt ni 630,000 take home 493,000