Kiwanda changu nahitaji mfunguzi

Kiwanda changu nahitaji mfunguzi

Naiona lie big condenser, conical frask, collection distillation flask, tripod stand, bunsern burner isipokuwa wire gauze,

Unachemsha na kuchakachua bia kutoka kwenye mchanganyiko wa maji na nafaka zilizo vunda katika joto ridi la nyuzi 78 nukta zero,

Hii ni fursa kwa wahusika kuzindua mradi huu,

Viva TANZANIA ya viwanda
Weh!!! Lazima utakuwa na PhD kama ya jiwe! Weka namba yako ya hicho ki tekno chako ili tukusakie Uteuzi kwa jiwe,yaani ukimmwagia hayo ma conicol frask,ma condenser, hayo ma nyuzi joto 70,tayari mtu anatumbuliwa unapewa ofisi!! Naamini wewe ni wa kure kwetu,
 
na wasi wasi na mtoa uzi huenda viroba vimeshamuathiri sana.kejeli,matusi,kashfa si utamaduni wetu uvccm.hatutamvumilia yeyote yote anayeleta kejeli kwenye mambo ya msingi ambayo kuyajadili inabidi uweledi wa hali ya juu utumike.nina mashaka na uraia wako mtoa uzi huenda wewe ni mhutu.
Wacha ukuda wewe
 
Ni kiwanda cha mtanzania mzalendo nimeamua kuunga mkono juhudi za raisi katika kuifanya Tanzania kuwa ya viwanda

Nahitaji mfunguzi nianze kuuza products officially.View attachment 775341
distilled gin processing industry.....safi sana.

Nakumbuka form two katika harakati ya kusaka ada niliipikaga sana hii.....

Kuna Mzee mmoja alikunywa akagoma kulipa akasema nikashitaki popote - nililia sana.
 
Weh!!! Lazima utakuwa na PhD kama ya jiwe! Weka namba yako ya hicho ki tekno chako ili tukusakie Uteuzi kwa jiwe,yaani ukimmwagia hayo ma conicol frask,ma condenser, hayo ma nyuzi joto 70,tayari mtu anatumbuliwa unapewa ofisi!! Naamini wewe ni wa kure kwetu,
hicho ktekiniko kinaitwa Frakisho disitileishini hahaha
 
Back
Top Bottom