Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,289
Unatengeneza mabomu niwe mteja
Maana naona umeyapanga
Maana naona umeyapanga
Weh!!! Lazima utakuwa na PhD kama ya jiwe! Weka namba yako ya hicho ki tekno chako ili tukusakie Uteuzi kwa jiwe,yaani ukimmwagia hayo ma conicol frask,ma condenser, hayo ma nyuzi joto 70,tayari mtu anatumbuliwa unapewa ofisi!! Naamini wewe ni wa kure kwetu,Naiona lie big condenser, conical frask, collection distillation flask, tripod stand, bunsern burner isipokuwa wire gauze,
Unachemsha na kuchakachua bia kutoka kwenye mchanganyiko wa maji na nafaka zilizo vunda katika joto ridi la nyuzi 78 nukta zero,
Hii ni fursa kwa wahusika kuzindua mradi huu,
Viva TANZANIA ya viwanda
Wacha ukuda wewena wasi wasi na mtoa uzi huenda viroba vimeshamuathiri sana.kejeli,matusi,kashfa si utamaduni wetu uvccm.hatutamvumilia yeyote yote anayeleta kejeli kwenye mambo ya msingi ambayo kuyajadili inabidi uweledi wa hali ya juu utumike.nina mashaka na uraia wako mtoa uzi huenda wewe ni mhutu.
Mpelekee yule aliyesema "Mtapata tabu sana... ".Nikuletee Mambosasa, Siro au Muroto? Chagua mgeni rasmi.
Hahahaaa mimi nitafaa? Nitakuja mpaka na media za njeNi kiwanda cha mtanzania mzalendo nimeamua kuunga mkono juhudi za raisi katika kuifanya Tanzania kuwa ya viwanda
Nahitaji mfunguzi nianze kuuza products officially.View attachment 775341
distilled gin processing industry.....safi sana.Ni kiwanda cha mtanzania mzalendo nimeamua kuunga mkono juhudi za raisi katika kuifanya Tanzania kuwa ya viwanda
Nahitaji mfunguzi nianze kuuza products officially.View attachment 775341
Mzee baba umeadimika, nikajua washakunyakuaahahahaaa
hicho ktekiniko kinaitwa Frakisho disitileishini hahahaWeh!!! Lazima utakuwa na PhD kama ya jiwe! Weka namba yako ya hicho ki tekno chako ili tukusakie Uteuzi kwa jiwe,yaani ukimmwagia hayo ma conicol frask,ma condenser, hayo ma nyuzi joto 70,tayari mtu anatumbuliwa unapewa ofisi!! Naamini wewe ni wa kure kwetu,
Ni kiwanda cha mtanzania mzalendo nimeamua kuunga mkono juhudi za raisi katika kuifanya Tanzania kuwa ya viwanda
Nahitaji mfunguzi nianze kuuza products officially.View attachment 775341
Saivi msafara wake una gari 40 watakuja wote
JINA LA BIDHAA YAKO TAFADHALI!Ni kiwanda cha mtanzania mzalendo nimeamua kuunga mkono juhudi za raisi katika kuifanya Tanzania kuwa ya viwanda
Nahitaji mfunguzi nianze kuuza products officially.View attachment 775341