Nasikitika mno kiwanda cha viwatilifu vya kuulia mbu hakifanyi kazi, licha ya kufunguliwa na kutolewa maelezo kwa mbwembwe na wanasiasa wa VYEO vya juu nchini.
Juzi Kati katika bunge hili la bajeti 2021/2021, kwenye kipindi cha maswali na majibu, Waziri wa afya aliulizwa swali na mbunge asiye na Chama kuhusu viwatifu vya kuulia mbu na mwendelezo wa kiwanda. Katika majibu ya wizara alijibu kama hakuwa na ufahamu kama Kuna viwatilifu vinazalishwa na kiwanda na umuhimu wake.
Nimepita maeneo ya kibaha, kiwanda kimefungwa muda mrefu, hakuna mlinzi huku nyasi zimeota ndani na nje ya kiwanda.Taa haziwashwi jioni ni giza totoro.
Jibu alilotoa Waziri wa afya, halikuakisi hali ilivyo kwenye uzalishaji, umuhimu na uhalisia wa uwepo wa viwatilifu hivyo nchini. Majibu ya wazir wa afya aliyatoa wapi. Kuna haja ya kufuta kipindi cha maswali na majibu bungeni, majibu ya mawazir hayana uhalisia.
Juzi Kati katika bunge hili la bajeti 2021/2021, kwenye kipindi cha maswali na majibu, Waziri wa afya aliulizwa swali na mbunge asiye na Chama kuhusu viwatifu vya kuulia mbu na mwendelezo wa kiwanda. Katika majibu ya wizara alijibu kama hakuwa na ufahamu kama Kuna viwatilifu vinazalishwa na kiwanda na umuhimu wake.
Nimepita maeneo ya kibaha, kiwanda kimefungwa muda mrefu, hakuna mlinzi huku nyasi zimeota ndani na nje ya kiwanda.Taa haziwashwi jioni ni giza totoro.
Jibu alilotoa Waziri wa afya, halikuakisi hali ilivyo kwenye uzalishaji, umuhimu na uhalisia wa uwepo wa viwatilifu hivyo nchini. Majibu ya wazir wa afya aliyatoa wapi. Kuna haja ya kufuta kipindi cha maswali na majibu bungeni, majibu ya mawazir hayana uhalisia.