Hii biashara kuna dogo alikuwa anafanya tena anatengeneza kwao kabisa ,ilikuwa ni sabuni za maji alipiga pesa ...
Mwaka 2015 au 2016 mwanzoni nilitaka kwenda kumtembelea dogo ,ila nikasikia alipiga pesa kwa ujinga kaua kiwanda kakimbilia south Africa...Huku kaenda kuajiriwa kweny supermarket.
Tangu hapo sijapata idea maana nilitaka kumpeleleza kidogo..Ila sabuni watu wanatengeneza sana tatizo hawa watu wa mazingira ..