gmail mkulima
Senior Member
- Jun 11, 2017
- 186
- 114
Wakuu kwema, nimepata mtaji kidogo na kwa utafiti wangu nimeamua nifungue kiwanda kidogo cha kukamua mafuta ya alizeti na chakula cha kuku toka kwenye mashudu.
Sasa naombeni wenye uzoefu na hii biashara Naombeni msaada wenu, mashine ya kukamua mafuta ni tani moja kwa siku ni sh ngapi?
Je hii biashara kwa dar itanilipa ukizingatia itakuwa raw oil sababu sina nguvu ya ku refine.
Aliyeshawahi kufanya bussines plan naomba anisaidie.
Alizeti nitakuwa nachukulia singida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa naombeni wenye uzoefu na hii biashara Naombeni msaada wenu, mashine ya kukamua mafuta ni tani moja kwa siku ni sh ngapi?
Je hii biashara kwa dar itanilipa ukizingatia itakuwa raw oil sababu sina nguvu ya ku refine.
Aliyeshawahi kufanya bussines plan naomba anisaidie.
Alizeti nitakuwa nachukulia singida.
Sent using Jamii Forums mobile app