Basi kazidiwa akili na Lumumba sasa anawavuruga nyieOdinga ameponzwa na ccm
Basi kazidiwa akili na Lumumba sasa anawavuruga nyieOdinga ameponzwa na ccm
Mwijaghe gani uliemtaja hapa??Kiwanda Cha Kuunda Magari Cha Mobius Motors Cha Jijini Nairobi, Nchini Kenya Kimeliingiza Sokoni Gari Lake Jipya Aina Ya Mobius II Ambalo Limetengenezwa Kwa Kuzingatia Ubovu Wa Barabara Za Afrika Na Linauzwa Tsh. 28 Milioni.
Hongera Kenya Kwa Hatua Hii Mliofikia, Haya Ndio Maendeleo Ya Kweli.
Wito Kwa mwijage, anzisheni viwanda vya namna hii
Kiwanda cha toothstick ti shida.....Mwijaghe gani uliemtaja hapa??
Yule aliesema Cherehani 4 nazo ni Kiwanda??
Sawa, wewe umeelewa criticism ndio mana ukapanicMasikini hata kuelewa kwako ni isssue
Ha ha haa,Kiwanda cha toothstick ti shida.....
Wabunifu wakitokea wamegundua vitu kwa juhudi binafsi wanaletewa siasa ...
Ova
Acha kutafuta mabasha kiaina, mimi sifanyi huo ujingaDuh. Tz kuna mashithole mengi kma ww.
Soma historia. Baada ya uhuru sisi tuliamua kujenga uchumi shirikishi wa kijamaa, uchumi unaofaidisha wananchi wote kwa usawa. Wazungu wote tuliwatimua katika umiliki wa uchumi wetu ulioongozwa kwa misingi ya Azimio la Arusha.Sijui shida iko wapi hapa kwetu, sisi tuna utulivu wa kisiasa kuliko wao, tumeongozwa na chama kimoja muda wote, wao kila siku vyama tofauti lakini wanazidi kupaa. Sasa hivi mambo mengi ya msingi wako juu yetu. Kwenye uchumi wako mbali, kielimu pia, kidemokrasia ndio usiseme, hata kimichezo wanatufunika sana.
Kuanza hakujalishi mnaendelea au mmeacha wao wataendelea ninyi mmefunga hamlingani bado mkuuMbona sisi tumeanza kitambo sana pale Nyumbu kibaha
Soma historia. Baada ya uhuru sisi tuliamua kujenga uchumi shirikishi wa kijamaa, uchumi unaofaidisha wananchi wote kwa usawa. Wazungu wote tuliwatimua katika umiliki wa uchumi wetu ulioongozwa kwa misingi ya Azimio la Arusha.
Kenya baada ya uhuru waliendelea na mfumo wa kikoloni kuendesha uchumi wa nchi yao. Wazungu waliendelea kuishi na kumiliki uchumi wa nchi kama ilivyokuwa awali. Uchumi wa kibepari unaomilikiwa na watu wachache. Uchumi usio shirikishi hadi leo.
Wala hili hatujakosea. Uchumi wetu uko vizuri sana kuliko wa Kenya kwani ni uchumi shirikishi. World Economic Forum ime rank Tanzania nafasi ya kwanza Afrika kwa kuwa the best inclusive economy.
Mkuu hicho ndicho kitu cha kujisifia!! wenzetu wakianza wanaendeleza,wewe unajisifia unjinga,hii inaonyesha vipi Tanzania inashindwa kusimama mambo yake...,Inaonekana bado mdogo sana mtoa maada, Tanzania ilshawahi kuunda magari wakati wewe hujazaliwa wala Kenya haijafikiria, tembelea shirika la Nyumbu pale Kibaha ujionee. Ingawaje kwa sasa wamesimaa kuunda magari kwa sababu zilizo nje ya kampuni.
Wewe ndiye dogo, hujui tulikotoka. Muulize babu yako atakueleza. Muulize hata Babu Bakhresa atakusimulia.Unaongea nini dogo? Kwa hiyo viwanda vya Azam vinamilikiwa kwa ushirika wa Bakhresa na Humphrey Polepole? Uchumi unasema sisi tuko vizuri kuliko Kenya, endelea kulala hapohapo.