Huyu mwij anajua nini!wao kila kitu ni siasa tu.....Kiwanda Cha Kuunda Magari Cha Mobius Motors Cha Jijini Nairobi, Nchini Kenya Kimeliingiza Sokoni Gari Lake Jipya Aina Ya Mobius II Ambalo Limetengenezwa Kwa Kuzingatia Ubovu Wa Barabara Za Afrika Na Linauzwa Tsh. 28 Milioni.
Hongera Kenya Kwa Hatua Hii Mliofikia, Haya Ndio Maendeleo Ya Kweli.
Wito Kwa mwijage, anzisheni viwanda vya namna hii,
HahahaIla waafrika hawachelewi, unaweza kua spid ghafla unajikuta umekaa chini, tair linaelekea...mtaroni na spana imekulalia ubavuni,.... Matair mengne yanaendelea na safar, yaani gari limeparanganyika.. Ila all in all hongera yao...
HakikaHuyu mwij anajua nini!wao kila kitu ni siasa tu.....
Wananchi wa kawaida tu wakiunda vyombo vyao wanaishiwa kutishwa kufunguliwa mashtaka
Ova
Wivu wa kijinga huoTuwapongeze kuwa wameweza anagalau kutengeza hio gari tu. Ila 28 Million unaweza pata a very nice car compare na huo mkusanyiko wa vyuma wa Mobius.
Total less effort wa put in designing the car, wamejaribu kuifanya ionekane kama high end car ivi lakini interior is a complete disaster for any 2018 Car.
Inaonekana wamechukua land rover za zamani wakazifufua na kuzichomea baadhi ya sehemu.
weka ile nyumbu yetu
Yeah! Unatengeneza gari unaliuza,unanunua chakula na chenji inarudi!kwa hiyo kwa upumbavu wako ulitaka waache kila kitu wapambane na chakula tu? Id.otKwani Kantanka la Ghana stori zake ziliishia wapi. Nchi hata kujitosheleza kwa chakula na mahitaji mengine bado lakini inakimbilia kutengeneza gari. Ajabu hii.
Ni ujinga unapooneshwa matatizo yako wapi kisha wewe ukafikiri ni wivu instead of taking the feedback for positive use.... ShameWivu wa kijinga huo
Niwajuavyo wakenya, wale wenye uwezo watanunua sana mali yao, wana uzalendo.
Labda Odinga na Uhuru ndio wamekuvurugeni... Tuna rais mmoja tu kwetu....Lumumba mmevurugwa
Shua mkuu, wafika hawako makini sana kwenye uimara wa kitu, wala hawahofii kuharibu brand...Hahaha
Odinga ameponzwa na ccmLabda Odinga na Uhuru ndio wamekuvurugeni... Tuna rais mmoja tu kwetu....
Watu bana eti ukimkosoa una wivu utafeli kwenye maisha....
Itabidi nikuulize, wivu gani nlokuwa nao kwa KE? mnatengeza Gari? ndio nione wivu?