Kuna kiwanda kidogo cha kukamua alizeti mjini Morogoro. Uwezo ni kukamua tani 6 kwa saa 10, hivyo kwa siku nzima ya saa 24 ni kukamua tani 12 hadi 14. Mafuta yanachujwa mara mbili. Wanatafutwa watu au mtu mwenye uwezo wa kuleta mbegu za alizeti zikamuliwe hapo kuanzia msimu wa alizeti wa mwaka huu wa 2012/13. Wenye nia ya dhati wanaweza kufanya mawasiliano kupitia barua pepe bkillagane@yahoo.com aumahelbsk@yahoo.com