Uongozi wa Kivuko cha Magogoni/Kigamboni umepandisha nauli kwa 100% kuanzia mwaka mpya 2012, wakati wakazi wa Misungwi wanavuka bure Watanzania wengine wanavuka kwenda Kigamboni au kuja mjini kwa shughuli za kujenga Taifa wanapandishiwa nauli kwa 100%. Kwa hali hii wananchi watakuwa na hali ngumu ya maisha mara 500 zaidi ukizingatia Tanesco noa wanapandisha umeme kuanzia tarehe I January 2012. Mapinduzi yananukia Tanzania.