Kivuko cha Kivukoni TEMESA

Sema,Mambo ya kushikana Mkono yamefanyika tofauti na Nilivyokua najua,watu interview tuu walitoka kabla ya mda,walikua washaahidiwa Kaz kitambo,so walikuja kiushaidi
We ulibatika kufanya
 
Wanapiga simu then wanakuuliza maswali ya mitego mitego ,

Dah aseeee
temesa , tuambieni tu kuwa umefanikiwa kupita katika usaili wa awali / maandishi , na sio

Hivo kama mlivyonitega , eti pharmacy yako haijasajiliwa wakati kijana wa watu amejiajiri kwenye kufuga kuku wa kisasa .
kivukoni
 
Kwaiyo umepta au ujapta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…