Kiutani utani

Kiutani utani

massimu jr

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2016
Posts
542
Reaction score
595
Ngoja tuone
Screenshot_2018-04-25-14-33-40~2.jpg
 
Uko ni ughaibuni mkuu..ikitokea bongo lazima watu wavunjwe miguu
 
Hivi mimi na familia yangu tukiandamana nyumbani kwangu nitakuwa nimefanya kosa?
 
Watanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu Sana
 
Mkwara wa jana ughaibuni
1. JF imepotezwa kwa masaa
2. Rais kapiga speech fupi mno, sijui alihofia nini?

Hivi bado tuko salama kweli JF?
 
Back
Top Bottom