Doctor Stranger
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,202
- 6,143
Mchezaji aliyekua anawekwa benchi na Yanga anakua tegemeo Tp mazembe je inathibitisha yanga ndio timu yenye kikosi kipana east africa nzima?
Umesoma ukaelewa au umejibu kama mwehu ?Mfunge goli hata moja basi klabu bingwa/shirikisho kuonesha ukubwa wenu
Ukweli mchungu mukoko hakufit kwenye mfumo wa nabi, ni bora mchezaji akatafute changamoto sehemu nyengine kuliko kuharibu carrier yake! na uzuri amepata timu kubwa sio yanakua yale yale ya kina ngassa.Mimi nimeumia Sana kwa kweli
Jamaa aliipambania Sana team hata pale tulipokuwa hovyo alijitolea jasho na damu
Hii tabia ya kuacha wachezaji kila msimu itatukosti Sana huko kimataifa.
Huyu chico kaja kati kati ya ligi wa nini?
Hawa viongozi wetu ni wasenge Sana mamayo zao.
Wachezaji kama mukoko wanahitajika Sana huko kimataifa..
....Ungeweza kuchangia/kutoa hoja bila kutumia matusi kama ulivyofanya. Yanga hatunaga kawaida hiyo ya kutoa lugha chafu na kutukana viongozi.Mimi nimeumia Sana kwa kweli
Jamaa aliipambania Sana team hata pale tulipokuwa hovyo alijitolea jasho na damu
Hii tabia ya kuacha wachezaji kila msimu itatukosti Sana huko kimataifa.
Huyu chico kaja kati kati ya ligi wa nini?
Hawa viongozi wetu ni wasenge Sana mamayo zao.
Wachezaji kama mukoko wanahitajika Sana huko kimataifa..
Haya tupo CAF na bangala akaumia tuanze kumpanga zawadi kweli?
Sometimes management ya yanga naonaga hatupo serious kabisa na mafanikio...
Mpira ni kazi kama kazi nyengine. tangu ligi imeanza amecheza mechi ngapi?Nimeumia sana jinsi uongozi wamefanya kwa mukoko. Huyu ameipigania timu na bado alikua anatamani kuipambania tena sana tu. Mungu mbariki teacher #mukoko wananchi tunakupenda sana
Umesahau simba walikua wanatamba watamsainishaMazembe ya sasa sio ya miaka ile
Hakufit kwenye mfumo na mechi alizopewa ni chache nakumbuka mechi na ruvu pale taifa ndio alicheza basi nyingine ipi?Ukweli mchungu mukoko hakufit kwenye mfumo wa nabi, ni bora mchezaji akatafute changamoto sehemu nyengine kuliko kuharibu carrier yake! na uzuri amepata timu kubwa sio yanakua yale yale ya kina ngassa.
Nenda huko kwa hao viongozi kawalambe miguu bwege wewe....Ungeweza kuchangia/kutoa hoja bila kutumia matusi kama ulivyofanya. Yanga hatunaga kawaida hiyo ya kutoa lugha chafu na kutukana viongozi.
Yaani niwaelewe NECTA level zote halafu nishindwe kuelewa hayo maneno ya post ya kwanza? Tena kwa Kiswahili?Umesoma ukaelewa au umejibu kama mwehu ?
AsanteNenda huko kwa hao viongozi kawalambe miguu bwege wewe
Unanipangia nini yanga ya baba yako au?
Ndio uachage ujinga watu tunaongea ya maana na kwa Future ya team yetu halafu unaanza kuleta mahaba ya kijinga viongozi wakikosea wanaambiwa ukweli hakuna kulemba lemba wala nini..Asante
Mshamba weweYaani niwaelewe NECTA level zote halafu nishindwe kuelewa hayo maneno ya post ya kwanza? Tena kwa Kiswahili?
Nimeumia sana jinsi uongozi wamefanya kwa mukoko. Huyu ameipigania timu na bado alikua anatamani kuipambania tena sana tu. Mungu mbariki teacher #mukoko wananchi tunakupenda sana
Mapenzi ya mukoko kwa Yanga ni dhahiri kabisa jumlisha na juhudi zake daah nimesikitika ila Mungu atambariki tuu.Mkuu Its Pancho nadhani eneo la kiungo halina shida maana kuna
Sure boy - huyu namba zote nane na kumi anacheza ipasavyo na ni mzuri kwenye kuforce mashambulizi kwa counter attack.
Zawadi Mauya - DMF/CMF
Ibrahm Bacca-DMF/RB/CB/LB
Farid Mussa - LB,CMF
Fei salum - CMF/AMF
Japo mi mwenyewe imeniuma kwa sababu jamaa alikua anaipenda sana timu.