For what gain?Mpe matumizi mazuri
Mpe nyumba nzuri
Mpe gari nzuri
Mpe mapenzi ya kutosha
Mpe pesa ya kutosha- hata awe anakutunzia tuu impe uhakika wa maisha
Halafu Rudi utuambie kama bado ana kiburi
Wakati huo we una provide nini katika union yenu?.
Yaani nikishindwa ku-meet up na mahitaji na vipengere ulivyojiwekea ndiyo unaidharau!.
Bhota bhabha Madoho!!.
Kweli!!..
kuna mwingine anasema" Mke mpa nyumba nzuri, gari nzuri, mavazi mazuri nachakula kizuri, atakuheshimu".
Yaani ninavyolima hivi asubuhi na jioni nipate hela ninue gari etc then nimpe mke ili aniheshimu!!. Yaani maangaiko yangu yote yawe ni kutafuta heshima kwa mwanamke?. HIIIII NAKOLOTA.
Cheki unavyobadili gear angani ha ha ha ha haHayo umeandika wewe mkuu,soma nilichomaanisha...sijaandika hayo uliyoandika .....ushasema akipata ajali
Sasa tuongelee mwanaume ambaye amekwama kifedha ambaye mlianza vizuri tu. Ikitokea hali yake haipo vema ndio iwe sababu ya wewe kukorofishana nae?!Mpaka nasema kuachiwa majukumu means natumia pesa yangu kulea watoto wakati pesa yake haiwajibiki.....Ukitaka kuwa mwanaume wajibika mkuu
Hali inatisha sana ila nafikiri wanawake nao Wana mengi ya kuongea kuhus ndoazao ila hawana pa kusemea sio rahis mtu amsalit mtu anaempenda Tena mumewe wa ndoa huenda kunamengi sirini hatuyajui lkn huko tunakoenda nafikiri hakutakuwa na ndoa na ukweli ni Kwamba vijana wengi ni waharibifu sana wa mabint huenda pia wanayopitia kwenye ndoa zao Ilikuwa karma
Mama yako alipewa vyote hv? Na baba yako.Mpe matumizi mazuri
Mpe nyumba nzuri
Mpe gari nzuri
Mpe mapenzi ya kutosha
Mpe pesa ya kutosha- hata awe anakutunzia tuu impe uhakika wa maisha
Halafu Rudi utuambie kama bado ana kiburi
Tunakosa uhalisia sabbu tunaona malalamiko ya upande mmoja lkn sijamaanisha kuwa natetea wanawake lakini pia tujitathimini matendo yetu pia huenda yanaturudia lkn tunasahau tulofanya huko nyumaHivi katika viumbe wanaojua kulalamika wanawake umeshindwaje kuwaona?! Shida ni hawanaga hoja za msingi. Ni watu wa kutengeneza sababu.
Mwanamke anaweza kuwa hajaridhika na jambo akatengeneza mazingira mgombane mkikorofishana anasingizia jambo lingine kabisa na kutaka wewe uonekane ndie msababishaji wa huo ukorofi.
Hapo umetaja wanaume karbia sita tofauti
Usiogope kuishi mwenyewe
Usiogope kuanza upya
Misimamo yangu ni hiyo na mke wangu anajua vizuri
Hapana,baba huyo anasababu zake ivo ukiingiza ugomvi kisa ameshuka bas huko ndo tunaita roho mbaya sasaSasa tuongelee mwanaume ambaye amekwama kifedha ambaye mlianza vizuri tu. Ikitokea hali yake haipo vema ndio iwe sababu ya wewe kukorofishana nae?!
😳makubwa! Nibadili for what mkuu?Cheki unavyobadili gear angani ha ha ha ha ha
Kivip? Familia si ni mume na mke....sasa kwann niachiwe majukumu?Wakati huo wewe unakuwa ukifanya nini?
Mpaka nasema kuachiwa majukumu means natumia pesa yangu kulea watoto wakati pesa yake haiwajibiki.....Ukitaka kuwa mwanaume wajibika mkuu