Kiukweli mnashangaza

Zama zimebadilika ndugu, yaani nitoke tu vupuu nakuanza kulisha mali za watu? Haya zamani hayukufanya hivyo sembuse leo? Japo si vizuri kuanza kuuliza eti unaboyfriend? Swali hili linaboa, mwanamke akishaiva atasema mwenyewehata bila.kuulizwa.
 
bora"" akwambie hivyo ""itakuwa nifuu""ndio kwanza"" ataanza "kuwa hadithia" wenzake kuwa amepata" danga "linajipendekeza "" so ameona amchune tu""
Amepata Buzi...hahahaaa wanawake bwana, eti analichuna huku na yeye anachunwa.
 
Naanza kukupenda
 
Asante kwa maneno yako yaukarimu na utu , Ningependa nipate chakula cha usiku naww maana kuna mambo mengi yakipekee nimeyagundua kwako na ninahitaji kuyadhihirisha.
 
Huo mtego. Jibu lako litanijulisha nahitaji juhudi gani kukunasa.
 
Kuuliza nenda reception umempenda demu kula tigo sepa...
 
Yani umtoe out mazagazaga kibao alafu ukitupia verse akuambie Ana boyfriend Yani Kama n mechi tayari umefungwa raundi ya kwanza tena nyumbani sasa unaenda kucheza ugenini pata picha game itakavokuwa gumu alafu ukicheki umetoboka sio haba

Ebana me najihakikishia kabisa kabla sijajilaumu huko baadae

Alafu hizo zilikuwa za zamani mambo simple n kumpa sound mapema then akikubali ujue yupo single akikataa double hapo ndo uanze na mbinu mbadala
 
boyfrend wako ananihusu nini??....mie nataka mzigo tuu......then kila mtu kivyake......
 
hivi huyuu Asprin anawake wangapi humu khaa. yani kila sehemu napotaka kuteka colon naskia kuna @Aspirin aaargh tutapambana hivo hivo ila cha muhimu na kikubwa ni kuwa highest shareholder basi
Asprin anao wawili tuu
 
Mambo yangu makuu kuuuliza mwanamke jina, anapatikana wapi, anapenda nini over
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…