Kiukweli, Lowassa anaitesa CHADEMA

Nisamehe Mkuu kama nimekukwaza. Ni mawazo yangu binafsi Mkuu sana MAGALEMWA
 
No wonder Rais hataki kufukua Makaburi ........ akiyafukua anaweza akawa ndiyo anamsafisha Lowasa!!
 
Tatizo la hawa jamaa wanataka kuharibu au kupotezea huo mgao w 10m. hata bosi wao hana jibu wamebakia kujichanganya tu ufisadi wa Lowassa mbona hata hilo faili hatujalisikia kwenda kwa DPP amebakia kulia lia tu kuwa hawezi kufukua makaburi kea sababu na ya kwake yamo humohumo tusichanganyane bwana
 
Msahihisho mkubwa


5. Jiulize tungekuwa na sera inayokubalika kitaifa (kupitia sanduku la kura huru)na uongozi shirikishi tungekuwa wapi baada ya zaidi ya miaka 50 ya kujitawala.

Zidumu fikra duni za chama dola


Kwa hiyo nani ayafanye hayo yote uliyoyataja? Au ndiyo kama yule anayemlaumu baba yake kwa kushindwa kwake maisha ?
 
Inaonesha ccm imewauma sana baada ya Mh. Mbowe kuanika uozo mnaoufanya huko kwenu mafichoni.Mbadilishe kauli mbiu ya Hapa kazi tu na iwe " Hapa rushwa tu"
 
Weye wapewa bk 7, wenzio wala 10m.
 
Rasimu/Katiba ya Warioba ndio jibu


Hata Katiba ikibadilishwa na kuwekwa mnayoitaka nyie bado CCM itashinda uchaguzi tena kwa tofauti kubwa sana tu na mtarudi hapa na malalamiko yale yale tu, tunayaona Kenya!
 
Kwani huko lumumba, lugumi keshakuwa fisadi?
 
Weye wapewa bk 7, wenzio wala 10m.

Sijawahi kuishabikia ccm na wala sidhani kama nitawahi, ikiwemo huyo Lowassa. Kwa hiyo hizo unazoziita bk 7 sijui 10m sizitambui, ila nakuambia ukweli ni kuwa hyo Lowassa kwa cdm ni kama wali umeingia mawe.
 
Hata Katiba ikibadilishwa na kuwekwa mnayoitaka nyie bado CCM itashinda uchaguzi tena kwa tofauti kubwa sana tu na mtarudi hapa na malalamiko yale yale tu, tunayaona Kenya!
Kama hamuiogopi, kulikuwa na haja ya kupigisha kura mpaka marehemu?
 
Sijawahi kuishabikia ccm na wala sidhani kama nitawahi, ikiwemo huyo Lowassa. Kwa hiyo hizo unazoziita bk 7 sijui 10m sizitambui, ila nakuambia ukweli ni kuwa hyo Lowassa kwa cdm ni kama wali umeingia mawe.
Pole
 
Kama hamuiogopi, kulikuwa na haja ya kupigisha kura mpaka marehemu?


Hilo silifahamu hivyo sina jibu lake ila ninachofahamu ni kwamba tatizo la Tanzania siyo CCM kuwepo madarakani wala Katiba!
Katiba siyo inayowazuia Upinzani kuingia madarakani, kwani kama Watanzania wakiamua kuiondoa CCM hata kesho inaondoka, kinachoiweka CCM madarakani ndicho hicho kinachozuia Upinzani kuingia madarakani nacho ni Imani, Watanzania bado hawajawa na Imani na Upinzani na kwa kiasi kikubwa bado wanaiamini CCM, utabisha na kukataa unavyotaka lkn huo ndio ukweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…