Kigera Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,497
- 1,341
Wanaogawa milioni kumi kwa kila mbunge ila mswaada upita ......mafisadi sanahahaha chadema ni chama cha mafisadi
Wanaogawa milioni kumi kwa kila mbunge ila mswaada upita ......mafisadi sanahahaha chadema ni chama cha mafisadi
Wanaotajwa si ndiyo maarufu? Basi sawaMkuu, pamoja na kwamba hata mimi sina chama kama wewe, lakini kitendo cha watu kuendelea kumsema Lowasa sio tu kwamba kinaendelea kumpa hadhi ambayo huenda hana, lakini kinasababisha watu wasiokuwa na mlengo wa kisiasa kama mimi na wewe tubaki kujiuliza kuwa huyu mtu ana nini hadi asakamwe hivyo, mpona kuna watu wegi sana wameondoka kwenye vyama vyao lakini kwa kuwa hawatajwi, wameiha sahaaulika ? Huyu mtu kaondoka na nini hadi afuatwe fuatwe hivyo ?
Kiuharisia au Kiuhalisia?Hiyo statement naifananisha na Taarifa aliyo itoa Gavana kuhusu mwenendo wa uchumi, imekaa kimapenzi zaidi na siyo kiuharisia
Mawazo yako, na wewe peke yako ndio unalalamika, umeandika vitu vya kusadikika na sio halisia. Tuambie jokeri ni yupi?Ni shabiki wa kutupwa wa cdm na msimamo wangu uko wazi. Walichokifanya cdm ni kama kuwa vitani halafu unamchukua kamanda wa wapinzani wako na kumpa ujemadari kupambana na huko akikotoka. Kibaya zaidi huyo kamanda mamluki hana uwezo wa kujenga hoja zaidi ya siasa za chini ya meza. Hv viongozi wa cdm hamuoni haya malalamiko yetu kila siku kwamba hapo tumelamba galasa?
Ni hali maisha kuwa magumu kwa sasa mpaka kifikia watu kutembea barabarani na kuongea wenyewe ?!!!A
Asante Mkuu. Hongera kwa kuwa timamu!
Mkuu samahani sana kwa bandiko langu lile la kwanza ni typig error naomba usinielewe vibaya kwa sababu ninakuheshimu sana na nitaendelea kukuheshimu.A
Asante Mkuu. Hongera kwa kuwa timamu!
Hongera kwa kusema ukweli kijana wangu. Najua utatukanwa lakini,umeongea ukweli mtupu. Kwa sasa wamebaki na hoja moja tu...eti mtu akifa wanasema 'kafa sababu alimsema Lowassa'...ndio hivyo tena toka siasa za hoja hadi siasa za ramli. Kuelekea uchaguzi mkuu 2010 walitangazia umma kuwa chadema haitasimamisha Wagombea kumpinga Sitta,Mwakyembe,Olesendeka kwa jinsi walivyosimamia ufisadi serikalini lakini eti sasa wamekuwa maadui wao...wanasema eti ripoti ya Richmond ilikuwa ni uongo.
Wakili msomi na unayejitambua Peter Mselemwa kama kweli unakerwa na ufisadi njoo nikupe kadi ya ccm. Ndani ya ccm kuna demokrasia ya kweli na ndiko kuna mawazo huru, hakuna miungu watu waliojipa madaraka ya kudumu.
Ni shabiki wa kutupwa wa cdm na msimamo wangu uko wazi. Walichokifanya cdm ni kama kuwa vitani halafu unamchukua kamanda wa wapinzani wako na kumpa ujemadari kupambana na huko akikotoka. Kibaya zaidi huyo kamanda mamluki hana uwezo wa kujenga hoja zaidi ya siasa za chini ya meza. Hv viongozi wa cdm hamuoni haya malalamiko yetu kila siku kwamba hapo tumelamba galasa?
Lugumi SI FisadiKwani Lugumi ana shida gani? Kama fisadi kwanini hachukuliwi hatua?
CCM bado ni mtambo wa kufyatua na kutetea mafisadi. CDM baada ya kumkaribisha yule jamaa yake fulani ni wazi wana kazi ya ziada ya kufanya kwenye hoja ya ufisadi kwa upande mwingine chama dola kinashangaza kutokuchukua hatua zidi ya yule jamaa yake fulani-je hii ina maanisha jamaa ni safi au kama dereva alivyosema yeye hatafukua makaburi? Sote twajua kwenye makaburi kuna mifupa mingi pamoja na ile ya wale mzee mmoja alisema waacheni waenjoi wine na wiski zao na mwingine kasema atawalinda. Kwenye swala ya demokrasia ni wazi vyama vya upinzani vimebanwa na wengine wanafikiri wamekosa agenda. Hii issue ya demokrasia na katiba (especially mabadiliko kuhusu mazingira ya chaguzi zetu) ni agenda tosha na zinahitaji kupewa kipaumbele na upinzani la sivyo CCM wataendelea "kuwaliza" na magoli ya nape, february na jecha. EL anawatesa wote CCM (mikakati yake hawaishi kumhofia hata vikao vyao vya ndani) na CDM (hisia kuwa ni fisadi + propaganda ya CCM kumhusu). Kama Dr yule alivyosema mwishowe swali ni je EL ni asset au liability kwa CDM? Kujipanga kwa CDM kuelekea 2020 kutatoa jibu.Wakili msomi na unayejitambua Peter Mselemwa kama kweli unakerwa na ufisadi njoo nikupe kadi ya ccm. Ndani ya ccm kuna demokrasia ya kweli na ndiko kuna mawazo huru, hakuna miungu watu waliojipa madaraka ya kudumu.
Nani kawabana. Wafanye hiyo mikutano ndio wajue kwamba awamu hii haijaribiwi. Mlisema JK dhaifu sasa mtaisoma!Sidhani kama CHADEMA inateseka kama ccm inavyoteseka. Ccm ndo wapo katika mateso makali kwasababu ya Lowassa Factor. Ndo maana wamewabana sana CHADEMA na Lowassa wasifanye chochote kisiasa. Kwani nini hasa kinawazuia CHADEMA kuzungumzia au kukemea ufisadi? Vinginevyo ni wazi kwamba hata wakati CHADEMA inamzungumzia Lowassa kama fisadi hawakuwa na uhakika wala ushahidi na ufisadi wake isipokuwa kutafuta kiki tu. Na kama Lowassa ni fisadi kweli kwanini hashughulikiwi na mamlaka zinazohusika ipasavyo?
Chadema juzi tu wamesema kuhusu rushwa ya ccm hatuoni hatua yoyote inayochukuliwa. Au sijaelewa ulichotaka kusema Mkuu Mselewa?
Tuwaulize ninyi mliohubiri kwa miaka 8 Ufisadi wa Bwana fulani lakini mkampokea na kumteua kuwa Mgombea wenu! Niwaulize ni lini mtamfikisha Mahakamani????Kwani Lugumi ana shida gani? Kama fisadi kwanini hachukuliwi hatua?
kumbe we shabiki nildhani mjumbe wa kamati kuu, peleka ushabiki wako simba na yanga ndo panakufaaNi shabiki wa kutupwa wa cdm na msimamo wangu uko wazi. Walichokifanya cdm ni kama kuwa vitani halafu unamchukua kamanda wa wapinzani wako na kumpa ujemadari kupambana na huko akikotoka. Kibaya zaidi huyo kamanda mamluki hana uwezo wa kujenga hoja zaidi ya siasa za chini ya meza. Hv viongozi wa cdm hamuoni haya malalamiko yetu kila siku kwamba hapo tumelamba galasa?
Taja mafisadi wa chadema halafu wataje mafisadi wa ccm. Tuangalie wapi kuna mafisadi wengi.hahaha chadema ni chama cha mafisadi

Mkuu, hata kama nimeongea pumba kwenye bandiko hili usiache kuniheshimu. Nakuomba sana!Mkuu samahani sana kwa bandiko langu lile la kwanza ni typig error naomba usinielewe vibaya kwa sababu ninakuheshimu sana na nitaendelea kukuheshimu.
Ila nina wasi wasi kama ni wewe unaweza kutoa mawazo mgando kama haya labda vijana wa lumumba kama kina jinga lao na lizaboni sio vijana wazuri wanaweza wakawa wamehack acc yako au kuna sumu wamekutegea ukavurugwa kiasi hiki.
Nakuheshimu sana mkuu.
Hilo Gamba Nape Kapambana Nalo Tangu 2008, Nadhani Lilipojivua Alichinja Kuku.Huyo Jamaa Zaidi Ya Kuwa Na Pesa Za Ujanja Ujanja Na Genge Hatari La Wafanyabiashara.Ni MwiziiiSema wewe maana tukisema sisi inaonekana tuna bifu naye. Kwa hakika CHADEMA wamenasa pabaya!
Wewe Ni Mchumi Mkuu Au Umejuaje Si Uhalisia ? Amma Unpenda Tu Kusikia Uchumi Siyo Mzuri Ili Iweje, Maana Hata Wachumi Tu Ni Mpaka Wafanye Tathmini Ya Hali Ya Uchumi.Hiyo statement naifananisha na Taarifa aliyo itoa Gavana kuhusu mwenendo wa uchumi, imekaa kimapenzi zaidi na siyo kiuharisia