Masking kwenye mifumo hii ya survival of the fittest kutoboa ni ngum sana. Mana kwenye nacho huongezewaHili swala la umaskini wa ukoo huwa linanikatisha sana tamaa ya kupambana coz wanamaanisha hata tupambane vp atuwez kutoboa et sababu koo zetu ni maskini huwa nachukia sana hii kitu
Usife moyo... Ukoo unaanzisha wewe/mimi .. kwa hiyo ninapaswa kuanza vyemaHili swala la umaskini wa ukoo huwa linanikatisha sana tamaa ya kupambana coz wanamaanisha hata tupambane vp atuwez kutoboa et sababu koo zetu ni maskini huwa nachukia sana hii kitu
Tatizo jamii zetu watu wanazaa watoto wengi ili waje watunzweHapo kwenye kuwajengea ndio kosa la umasikini wako lilipoanzia. Yaan fedha ambayo ilikuwa msingi wako Sasa wewe unauridisha nyuma. Jaman wazazi hebu pigeni kaatua kidogo ili watoto nao waje wapate urahisi wa Maisha. Umasikini mwingine unasababishwa na wazazi kwa kiasi kikubwa. Miaka 50,60 kweli hata kama ulikuwa unanunua tofali moja kila wiki c mtu ingekuwa hata na vivyumba viwili vizuri vya kulala na badae hata watoto wanakuja kufanya upanuzi. Najua wengi watasema Maisha ya wazee yalikuwa magumu, sio utani wengi wanapata lakini pombe kwa wingi.
Uko wapi mkuuJamani, naombeni kazi
Mbinga,RuvumaUko wapi mkuu
wewe sijui unafeli wapi ila sikia ziko mishe nyingi tu kwa siku unalaza 10k-15k kama siku gemu zuri unalaza 25k-30k sijui uko kwenye mkaa sijui kilimo umefata nini
Haya ni masahibu wanayokutana nayo vijana wengi wa Tz.Uliyoandika yamekutokea kweli?
Nimeutumikia mshahara huo kwa miaka 6 sasa.. ukiwa nao kijijini si shda sana ila city center changamoto...Haya ni masahibu wanayokutana nayo vijana wengi wa Tz.
Mifumo ya uchumi na maendeleo ya Nchi hii siyo rafiki sana kwa shughuli za uchumi na maendeleo. Kwa mfano, kijana analima na kupata mtaji wa biashara (e.g. milioni mbili), anaanzisha biashara ya duka, TRA wanaingia na kumkadiria kodi ya laki nne wakati hiyo ndiyo faida ya biashara yake, achilia mbali kodi ya kibanda, ushuru wa soko, nauli ya bidhaa, luku, simu, n.k. Ni majanga. Ndiyo maana vijana wengi wanakimbilia kuajiriwa japo kwa salary ya 250,000/= kwa mwezi. Watafanyaje sasa.
Samahani kwakusema ivi labda nitakukwaza ila umejaribu kuhama mkoa?mara nyingi mkoa uliozaliwa na kukulia ningumu kutoboa,Je unakoishi unaweza kufuga maana ufugaji Hawa wakuku broila unalipa sana kwamuda mfupiRuvuma, mbinga
UKWELI Mungu akubarikiVyeti vya kitaaluma unavyo?
Pm me your number and then I'll see if there is anything I can help you with
All the best.
Kuku sijajaribu... Ila nna ng'ombe wawil ( ndama) na nguruwe 3 wadogo..Samahani kwakusema ivi labda nitakukwaza ila umejaribu kuhama mkoa?mara nyingi mkoa uliozaliwa na kukulia ningumu kutoboa,Je unakoishi unaweza kufuga maana ufugaji Hawa wakuku broila unalipa sana kwamuda mfupi
Sio mkuuHiyo namba 3 nimecheka sana..Bila shaka unatania huu uzi inaweza ikawa changamsha genge tuu
Kaka tusaidie wengine namna tutakavyoweza kufuga hao kukuSamahani kwakusema ivi labda nitakukwaza ila umejaribu kuhama mkoa?mara nyingi mkoa uliozaliwa na kukulia ningumu kutoboa,Je unakoishi unaweza kufuga maana ufugaji Hawa wakuku broila unalipa sana kwamuda mfupi
Tunduma au? Mjini kweli fursa kibao ila kushikana mikono mhimukama upo kijijini, njoo mjini mkuu huku ndo kuna ela
WordTunduma au? Mjini kweli fursa kibao ila kushikana mikono mhimu
Pole sana mkuuNi kubwa kaka.. ni ya wazazi (wa kiume) waliowekeza ulevi.. nilipambana kwa pesa ya kujikimu (boom) nikawajengea pa kuishi angalau pasipovuja... Nikajisahau mwenyewe.... Nikapambana kuwabadili wawe wachapa kaz za shamba,, angalau kwa sasa wanajiinua kidogo... ni wakulima wa kahawa..mfumo wa mauzo pia kikwazo kwa mwenye kipato kidogo.. hali tete..ila sijawa mvivu,,, nikasaka ajira private schools.. mwaka jana nikapata ajali pindi tunaenda kusimamia mitihani darasa la 7...kila njia ikajifunga kuanzia hapo