MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 9,314
- 25,454
haszu mzuri mambo vipi ?mtazamo wa kizamani sana huo hasa kwenye suala la uzuri.
haszu mzuri mambo vipi ?mtazamo wa kizamani sana huo hasa kwenye suala la uzuri.
Mie wanafika 10, ila sijawahi kukataa hata mara 1...Mimi nimetongozwa na mademu jumla watano, niliyemkubalia ni mmoja tu.
we ni lazima utakua na muonekano mbaya, kwa hiyo ni limbukeni wa kutongozwaMie wanafika 10, ila sijawahi kukataa hata mara 1...
Tena hao ni wa kutongoza rasmi, achilia mbali wale wanaoonesha dalili kidogo tu, nilikuwa siachi, lazima nitambae na chaki.
😂😂😂😂😂"Raha Ya Kutongozwa Unipe Eeh Bwana,,Na Mwanga Wa Mahaba Uniangazie Nitongozwe Kwa Amani.."
###Amen###
Dini Ni Nini Au Ni Nani...???Acha kuunganisha dini na mambo ya namna hiyo.