Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 167,059
- 185,355
Nataka nikukabidhi zana za siyo tu kuyafuta mapenzi bali kuyasahau kabisa...Hahahaha π π π ππΎ sawa
Bila kuacha ushahidi wowote...
Nataka nikukabidhi zana za siyo tu kuyafuta mapenzi bali kuyasahau kabisa...Hahahaha π π π ππΎ sawa
Utani tu , kuna siku ulinigombeza nimeamua nikuchangamshe tu π€£kwakweli wacha nitulie ππππππΎππΎ
ile siku ndo nilkua nmetoka kupigwa kibuti aseeeeeee ππΎππΎsina hamuuu,, yaani hasira nje njeππππππUtani tu , kuna siku ulinigombeza nimeamua nikuchangamshe tu π€£
Hahaha pole sana , kwamba ukitoka kupigwa kibuti ndio unizingue na mimi?ile siku ndo nilkua nmetoka kupigwa kibuti aseeeeeee ππΎππΎsina hamuuu,, yaani hasira nje njeππππππ
alokwambia wewe tu naniπππ staki kukumbka mimHahaha pole sana , kwamba ukitoka kupigwa kibuti ndio unizingue na mimi?
ππππNdio yeye anayewapenda kwa njaa na shibe zenu
πππππTuanze na hapa kwanza........ Kwamba Mungu hatatuhukumu kwa madhaifu aliyotuumbia mwenyewe? Au huo moto wa jehanamu umekaririsha kamuumbia nani?
Kuna "kiumbe" Katili na Roho mbaya kama Mungu muweza wa yote anayeza kufanya yote yakawa mema lakini akayaacha na kutuumbia mateso makubwa kama vita magonjwa majanga nk na bado katuandalia moto wa milele eti tupambane na kumshinda Shetani hapa duniani..... SHETANI huyu aliyeshindwana naye yeye huko mbinguni akatutupia sisi ili aturubuni na kutuchoma moto?
Kilikukuta kitu dear? Poleee ππππMapenzi yachomwe moto hakika
Avatar yako hiyo ndio huwa inaniacha nabubujikwa na mapenzi. Hivyo vimodo alafu black flani hivi ya kung'aaa na short hair cut hapo ninakosa kabisa utulivu wa nafsiππππππ
Wee em sema kweliii? ππππAvatar yako hiyo ndio huwa inaniacha nabubujikwa na mapenzi. Hivyo vimodo alafu black flani hivi ya kung'aaa na short hair cut hapo ninakosa kabisa utulivu wa nafsiπ
Kweli si utani.Wee em sema kweliii? ππππ
Acha tuKilikukuta kitu dear? Poleee ππππ
Poleee dear, ππππAcha tu
Asante sanaPoleee dear, ππππ
Hope now hutolizwa tena.Asante sana
Kwa ufala huu nlonao ntalia tuuuHope now hutolizwa tena.
Aaaah dear unafeli wapii wewee?Kwa ufala huu nlonao ntalia tuuu