Kiuhalisia hakuna kiu/dhana mapenzi

Kiuhalisia hakuna kiu/dhana mapenzi

Hahahaha ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ sawa
Nataka nikukabidhi zana za siyo tu kuyafuta mapenzi bali kuyasahau kabisa...
Bila kuacha ushahidi wowote...
 
kwakweli wacha nitulie ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ
Utani tu , kuna siku ulinigombeza nimeamua nikuchangamshe tu ๐Ÿคฃ
 
Utani tu , kuna siku ulinigombeza nimeamua nikuchangamshe tu ๐Ÿคฃ
ile siku ndo nilkua nmetoka kupigwa kibuti aseeeeeee ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพsina hamuuu,, yaani hasira nje nje๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
ile siku ndo nilkua nmetoka kupigwa kibuti aseeeeeee ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพsina hamuuu,, yaani hasira nje nje๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hahaha pole sana , kwamba ukitoka kupigwa kibuti ndio unizingue na mimi?
 
Tuanze na hapa kwanza........ Kwamba Mungu hatatuhukumu kwa madhaifu aliyotuumbia mwenyewe? Au huo moto wa jehanamu umekaririsha kamuumbia nani?

Kuna "kiumbe" Katili na Roho mbaya kama Mungu muweza wa yote anayeza kufanya yote yakawa mema lakini akayaacha na kutuumbia mateso makubwa kama vita magonjwa majanga nk na bado katuandalia moto wa milele eti tupambane na kumshinda Shetani hapa duniani..... SHETANI huyu aliyeshindwana naye yeye huko mbinguni akatutupia sisi ili aturubuni na kutuchoma moto?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Avatar yako hiyo ndio huwa inaniacha nabubujikwa na mapenzi. Hivyo vimodo alafu black flani hivi ya kung'aaa na short hair cut hapo ninakosa kabisa utulivu wa nafsi๐Ÿ˜€
 
Mwanamke ameumbwa kumsaidia mwanamme na ameumbwa kwa ajili ya kuzaa kuongezea.

Binaadamu wamefanya ngono ni starehe badala ya kwa ajili ya kuzaa.

Na wanawake wakastukia kwamba wanaume wanapenda ngono hivyo wanaitumia kimaslahi na hapo ndipo UTAPELI/UONGO ulipoingia.
 
Mod wanaoedit vichwa vya habari sasa hapo mmeedit KITU KWENDA KIU.Hivi mbona kama mnatukosea sana humu ndani.

Ifike mahali mtu akipandisha uzi ubaki katika uhalisia wake KIU ndo mdudu gani.

๐Ÿ“ŒMaana ya mada nzima imevurugika.Hii censorship yenu inafanya huu mtandao usikue!!!
 
Avatar yako hiyo ndio huwa inaniacha nabubujikwa na mapenzi. Hivyo vimodo alafu black flani hivi ya kung'aaa na short hair cut hapo ninakosa kabisa utulivu wa nafsi๐Ÿ˜€
Wee em sema kweliii? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom