Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 8,402
- 13,763
Tuanze na hapa kwanza........ Kwamba Mungu hatatuhukumu kwa madhaifu aliyotuumbia mwenyewe? Au huo moto wa jehanamu umekaririsha kamuumbia nani?"Mwenye kupenda ni Mungu maana Mungu atakupenda kwa utimilifu wako na kwa madhaifu yako bila kukuhukumu".
Kuna "kiumbe" Katili na Roho mbaya kama Mungu muweza wa yote anayeza kufanya yote yakawa mema lakini akayaacha na kutuumbia mateso makubwa kama vita magonjwa majanga nk na bado katuandalia moto wa milele eti tupambane na kumshinda Shetani hapa duniani..... SHETANI huyu aliyeshindwana naye yeye huko mbinguni akatutupia sisi ili aturubuni na kutuchoma moto?