otto2020
Senior Member
- Oct 10, 2016
- 198
- 430
hahahaha mkuu umeuaTuma salamu kwa watu 3
hahahaha mkuu umeuaTuma salamu kwa watu 3
Slaa alikuwa ccm dam ndio mana alikuwa anamiliki adi kadi ya ccm me ata kadi ya ccm sihiju langi yakeAkina Dr slaa walikuwa na damu nzito ndani ya chadema, wakaondoka sembuse wewe!
Kwani sio simu?Dah! Jf sio watu wazuri kabisa!!! Yaani wameonesha kabisa umecoment kwa simu ya Itel![]()
Kuna utafiti umekuja kuwa hapa Tz. Kati ya watu 4 mmoja anaugua kichaa!mleta mada umedhihirisha hilo! nakushauri wahi Muhimbili au Mirembe kabla tatizo halijawa kubwa zaidi.

Wewe utakuwa ni mkurugenzi wa twaweza unatumia akaunti hii kuleta tafiti zenu za kinafikiKama watu tuliungana vyama vinne ili kuiangusha ccm na bado tukashindwa,ubunge tukazidiwa,udiwani tukazidiwa,kura za uraisi tukazidiwa na hata serikali za mitaa tukazidiwa,sasa hapo bado unaamini kuna upinzani imara? Hapohapo mara vyama vya upinzani vinaparurana na kufukuzana,mwenyekiti na katibu hawapikiki chungu kimoja,bado unaamini kuna upinzani imara?tukubali au tukatae ni kwamba kiufupi wananchi wote automatically ni ccm tu,ila hivi vyama vya upinzani vina wenyewe,sisi wengine tunapiga kelele tu ,wale waasisi na viongozi ndio wenye vyama vyao,au wewe mwenzangu unaonanaje?![]()
yako mengi yaliyopelekea kushindwa na nakuambia kwa katiba hii na hali ilivyo ccm haiwezi kutoka madarakani wasimamizi wa majimbo ni makada na wateuliwa wa mwenyekiti wa chama unategemea nini?tume ya uchaguzi sio huru mana anayeiteua nae pia anagombea wasimamizi wote kuanzia polisi tume jeshi wote wanakuwa upande wa chama tawala kiujumla mfumo wetu ni mbovu na bado sanaKama watu tuliungana vyama vinne ili kuiangusha ccm na bado tukashindwa,ubunge tukazidiwa,udiwani tukazidiwa,kura za uraisi tukazidiwa na hata serikali za mitaa tukazidiwa,sasa hapo bado unaamini kuna upinzani imara? Hapohapo mara vyama vya upinzani vinaparurana na kufukuzana,mwenyekiti na katibu hawapikiki chungu kimoja,bado unaamini kuna upinzani imara?tukubali au tukatae ni kwamba kiufupi wananchi wote automatically ni ccm tu,ila hivi vyama vya upinzani vina wenyewe,sisi wengine tunapiga kelele tu ,wale waasisi na viongozi ndio wenye vyama vyao,au wewe mwenzangu unaonanaje?![]()
nimechaka sana mkuuu...ahsante nimeongeza siku za kuishiDah! Jf sio watu wazuri kabisa!!! Yaani wameonesha kabisa umecoment kwa simu ya Itel![]()
Mmh akili hizi cyo bure:Kama watu tuliungana vyama vinne ili kuiangusha ccm na bado tukashindwa,ubunge tukazidiwa,udiwani tukazidiwa,kura za uraisi tukazidiwa na hata serikali za mitaa tukazidiwa,sasa hapo bado unaamini kuna upinzani imara? Hapohapo mara vyama vya upinzani vinaparurana na kufukuzana,mwenyekiti na katibu hawapikiki chungu kimoja,bado unaamini kuna upinzani imara?tukubali au tukatae ni kwamba kiufupi wananchi wote automatically ni ccm tu,ila hivi vyama vya upinzani vina wenyewe,sisi wengine tunapiga kelele tu ,wale waasisi na viongozi ndio wenye vyama vyao,au wewe mwenzangu unaonanaje?![]()

Mimi sipo huko na haitokaa itokee nitakuwa kama wale wanyama waliochagua kuingia baharini kuliko kuishi na yale madude ndani ya miilo yaoKama watu tuliungana vyama vinne ili kuiangusha ccm na bado tukashindwa,ubunge tukazidiwa,udiwani tukazidiwa,kura za uraisi tukazidiwa na hata serikali za mitaa tukazidiwa,sasa hapo bado unaamini kuna upinzani imara? Hapohapo mara vyama vya upinzani vinaparurana na kufukuzana,mwenyekiti na katibu hawapikiki chungu kimoja,bado unaamini kuna upinzani imara?tukubali au tukatae ni kwamba kiufupi wananchi wote automatically ni ccm tu,ila hivi vyama vya upinzani vina wenyewe,sisi wengine tunapiga kelele tu ,wale waasisi na viongozi ndio wenye vyama vyao,au wewe mwenzangu unaonanaje?![]()
Akili hizi ndio bado zinaamini kuwa kuna wanyonya damu, ccm baadhi ya watu imewafanya kuwa wajinga mileleMmh akili hizi cyo bure:
Hujashiriki kweli kuua watafiti mkidhani wanyonya damu kule kwenu![]()
![]()
![]()
![]()
Dr Slaa aliondoka CHADEMA baada ya jaribio lake la kutoka kwenda kula mihogo Ikulu kukataliwa na wana UKAWA yeye na Propesa Lipumbavu wakaamua kuchukua pesa za CCM na kusepa.
yako mengi yaliyopelekea kushindwa na nakuambia kwa katiba hii na hali ilivyo ccm haiwezi kutoka madarakani wasimamizi wa majimbo ni makada na wateuliwa wa mwenyekiti wa chama unategemea nini?tume ya uchaguzi sio huru mana anayeiteua nae pia anagombea wasimamizi wote kuanzia polisi tume jeshi wote wanakuwa upande wa chama tawala kiujumla mfumo wetu ni mbovu na bado sana
Hili ndio kosa letu kubwa huwa hatusomi tukaelewaMleta hoja naona wenye lumumba st wamekutuma kutuhoji ili kujua idadi ya wafuasi wenu wa kuisoma namba.
Kwa taarifa yako nchi hii haina mwanachama wa ccm hata mmoja. Wote wapo upinzani. Kipimo ni kidogo sana kuthibitisha hili. Jaribu kumvua nape vyeo vyote alivyo navyo ndani ya ccm kisha umprovoke kidogo tu kama hajajiunga na cuf baada ya nusu saa.
Dogo anamkosea heshima slaa,,yule mtu ni mfano wa kuigwa,hayarudii matapishi yake,alisema lowasa ni mwizi na hajabadili msimamo wake,alisema anaacha siasa na kweli kaacha siasaDr.Slaa aliondoka" CDM KWENDA IKULU KULA MHOGO" Slaa yupi anaongelewa hapa? Wilboard? Niambie ELN nini kilimtoa CCM kw cdm.