Kiufupi, wananchi wote ni CCM tu

Kiufupi, wananchi wote ni CCM tu

juvenile davis

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
4,752
Reaction score
4,475
Kama watu tuliungana vyama vinne ili kuiangusha ccm na bado tukashindwa,ubunge tukazidiwa,udiwani tukazidiwa,kura za uraisi tukazidiwa na hata serikali za mitaa tukazidiwa,sasa hapo bado unaamini kuna upinzani imara?

Hapohapo mara vyama vya upinzani vinaparurana na kufukuzana,mwenyekiti na katibu hawapikiki chungu kimoja,bado unaamini kuna upinzani imara?tukubali au tukatae ni kwamba kiufupi wananchi wote automatically ni ccm tu,ila hivi vyama vya upinzani vina wenyewe,sisi wengine tunapiga kelele tu ,wale waasisi na viongozi ndio wenye vyama vyao,au wewe mwenzangu unaonanaje?

 
Kama watu tuliungana vyama vinne ili kuiangusha ccm na bado tukashindwa,ubunge tukazidiwa,udiwani tukazidiwa,kura za uraisi tukazidiwa na hata serikali za mitaa tukazidiwa,sasa hapo bado unaamini kuna upinzani imara? Hapohapo mara vyama vya upinzani vinaparurana na kufukuzana,mwenyekiti na katibu hawapikiki chungu kimoja,bado unaamini kuna upinzani imara?tukubali au tukatae ni kwamba kiufupi wananchi wote automatically ni ccm tu,ila hivi vyama vya upinzani vina wenyewe,sisi wengine tunapiga kelele tu ,wale waasisi na viongozi ndio wenye vyama vyao,au wewe mwenzangu unaonanaje?
Hili lako litakuwa kweli:
Iwapo kutakuwa na katiba mpya ya wananchi.
Iwapo kutakuwa na tume huru ya uchaguzi.
Iwapo vyombo vya usalama vitaacha vitisho kabla na wakati wa uchaguzi.

Iwapo CCM itashinda katika mazingira hayo.

Vinginevyo si vizuri kwa mtu mzima kujidanganya mwenyewe ilihali unaujua ukweli mchungu.

Sent from my itel_it1701 using JamiiForums mobile app
 
Hili lako litakuwa kweli:
Iwapo kutakuwa na katiba mpya ya wananchi.
Iwapo kutakuwa na tume huru ya uchaguzi.
Iwapo vyombo vya usalama vitaacha vitisho kabla na wakati wa uchaguzi.

Iwapo CCM itashinda katika mazingira hayo.

Vinginevyo si vizuri kwa mtu mzima kujidanganya mwenyewe ilihali unaujua ukweli mchungu.

Sent from my itel_it1701 using JamiiForums mobile app
Dah! Jf sio watu wazuri kabisa!!! Yaani wameonesha kabisa umecoment kwa simu ya Itel
 
Kama watu tuliungana vyama vinne ili kuiangusha ccm na bado tukashindwa,ubunge tukazidiwa,udiwani tukazidiwa,kura za uraisi tukazidiwa na hata serikali za mitaa tukazidiwa,sasa hapo bado unaamini kuna upinzani imara? Hapohapo mara vyama vya upinzani vinaparurana na kufukuzana,mwenyekiti na katibu hawapikiki chungu kimoja,bado unaamini kuna upinzani imara?tukubali au tukatae ni kwamba kiufupi wananchi wote automatically ni ccm tu,ila hivi vyama vya upinzani vina wenyewe,sisi wengine tunapiga kelele tu ,wale waasisi na viongozi ndio wenye vyama vyao,au wewe mwenzangu unaonanaje?

Tuma salamu kwa watu 3
 
Kama watu tuliungana vyama vinne ili kuiangusha ccm na bado tukashindwa,ubunge tukazidiwa,udiwani tukazidiwa,kura za uraisi tukazidiwa na hata serikali za mitaa tukazidiwa,sasa hapo bado unaamini kuna upinzani imara? Hapohapo mara vyama vya upinzani vinaparurana na kufukuzana,mwenyekiti na katibu hawapikiki chungu kimoja,bado unaamini kuna upinzani imara?tukubali au tukatae ni kwamba kiufupi wananchi wote automatically ni ccm tu,ila hivi vyama vya upinzani vina wenyewe,sisi wengine tunapiga kelele tu ,wale waasisi na viongozi ndio wenye vyama vyao,au wewe mwenzangu unaonanaje?
Haya ni matusi tunatukanana,
Why unihusishe na Chama ambacho sikiihitaji wala kukipenda??
Ukweli nami nimekutukana, ila kimoyomoyo
 
Mawazo yako mazuri tu, ila hakuna upinzani unaoanza ukiwa imala, kwenye vyama kuna sasa zake, pia hata muunganiko wa vyama kuna siasa zake, napenda nikudhibitishie ya kuwa upinzani tulio kuwa nao ni imala, Chadema, Cuf nzanziba, NCCR. Siasa zao zinaendana, kudhoofika kwa upinzani kunasababishwa na mambo fula fula, M:f lipumba au Dr slaa, je? Kama wasinge tumika hawa leo CCM ingekuwa wapi? Wameona watu wapo ngangali wamemrudisha tena Lipumba, na ulinzi juu wanampa, inauma sana kuona mawazo yetu yanatekwa au wanayahodhi watu wachache tu, Propganda zinaeneza ila one day Tanzani itakuwa huru ki fikra. Asante
 
Mimi niko CDM, walionizunguka CDM, Jiji langu linaongozwa na CDM, Mwenyekiti wangu wa Mtaa CDM, Diwani wangu CDM, Balozi CDM, Majirani CDM sasa nikijiita niko CCM si nitakuwa mnafiki mkuu juvenile davis !!!!!!!!!!!
Mkuu acha uzushi,balozi anakuwa ni ccm ,lazima,sijawahi kuona balozi wa chama pinzani
 
Back
Top Bottom