Kiufupi Sports Arena imekufa baada ya Kitenge kuondoka

Edo simwoni kama ni bora kiuchambuzi. Abaki kwenye makala.

Ambangile ni trash

Yule mdada kidogo kwa mbaaaaaaaaali Anajitahidi

Ahmed ni mtangazaji sio mchambuzi

Ricardo momo akiacha kazi wasafi fm hapati kazi radio nyingine..

Za chini chini Anaefata kuondoka ni Lil Omy,

Hata beki tatu wa ndani hawezi kukaa miezi 3 bila mshahara, japo kua anakula na kulala.


View attachment 1882451
Yaani mondy kanunua gari la bilion 2 alafu anashindwa kulipa wafanyakazi wake mishahara
 
Momo na mastory yotee kudere watu alishidwa kujua Ka maulid khanga anasepa
 
Edo simwoni kama ni bora kiuchambuzi. Abaki kwenye makala.

Ambangile ni trash

Yule mdada kidogo kwa mbaaaaaaaaali Anajitahidi

Ahmed ni mtangazaji sio mchambuzi

Ricardo momo akiacha kazi wasafi fm hapati kazi radio nyingine..

Za chini chini Anaefata kuondoka ni Lil Omy,

Hata beki tatu wa ndani hawezi kukaa miezi 3 bila mshahara, japo kua anakula na kulala.


View attachment 1882451
Hater!
 
Edo simwoni kama ni bora kiuchambuzi. Abaki kwenye makala.

Ambangile ni trash

Yule mdada kidogo kwa mbaaaaaaaaali Anajitahidi

Ahmed ni mtangazaji sio mchambuzi

Ricardo momo akiacha kazi wasafi fm hapati kazi radio nyingine..

Za chini chini Anaefata kuondoka ni Lil Omy,

Hata beki tatu wa ndani hawezi kukaa miezi 3 bila mshahara, japo kua anakula na kulala.


View attachment 1882451
Duuuh "post imejaa ukatuni mwingi"......
 
Ambangile yupo vizuri.. Sema Diamond platinum nasikia ni fake. Watangazaji hawana pesa afu anapenda kusifiwa tu

Mabosi wa kibongo ndio walivyo juzi kelele zilikuwa kwa moo
Leo kwa mondi kimyaa tubapenda unafki sana
 
Wasafi media hawakujua Kitenge alikuwa anawapeleleza. KITENGE NI MWAJIRIWA WA USALAMA WA TAIFA. Wasafi imeshachunguzwa na tusubiri matokeo. KITENGE ANAENDA KUUNGANA NA OSCAR KUMALIZA KAZI YAO ALIYOIANZA YEYE KITENGE PALE EFM.
Nasikia Diva nae ndo kazi anayoifanya pale, ila sio mda mrefu nae ataondoka akishakamilisha uchunguzi wake🦍🦍
 
🤣🤣🤣🤣yan kipindi Kife sababu mpiga makelele ameondoka, Maulidi bora ni yule aliyekuwa akisoma habari ITV tu huku redion tumepigwa tu, hana lolote.
 
Nahisi tutakuwa wengi tu ...

Tupo wengi mi mwenyewe nashangaa Sana watu wanaobishania redio , et mchambuzi Fulani anajiita anajua wakat kila kitu anatoa Google 🤣 , mi hata TV tuu siangalii labda mpira live au nachek movie kwenye KIX ,...!! Et nimekaa nimetulia naangalia ITV duuh
 
Back
Top Bottom