Wewe hujakatazwa kufanya hivyo,kama unaona hiyo staili inakufaa nawe nenda kashinde juani pale na kila kitu utatimiziwa.Wabongo bwana!watu wamepata ajira mijitu mingine inaona gere,mbona we hawakujadili katika kazi yako?Acheni roho mbaya!
Pengo usimfokee hiyo ni rushwa, hata wewe unakili nafsini mwako, japo wewe na mimi tunajua pia kabisa kuwa, when it comes inaweza ikageuka ikawa siyo rushwa,....safi sana!
Neno sahihi ni "unakiri". Jifunze kutofautisha kati ya "L" na "R"