kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,422
- 3,393
Kituo Cha polisi salender bridge, chonde chonde naomba muwafukuze hao wanaokamata boda hapo kwenye mataa Kama hamshirikiani nao, leo nusra wasababishe ajali wakati wanataka kumkamata boda moja hivi, hao watu hawakuepo mara wamerudi tena, iachiane Polisi ifanye kazi hiyo.